- Thread starter
- #41
Kilimo atapata ? Na ni chuo ganiAanzie certificate biashara au kilimo.
Kilimo atapata ? Na ni chuo ganiAanzie certificate biashara au kilimo.
Ddc ndo nini mkuuajiunge na DDC Mlimani Park
hahaha kazi kweli kweliajiunge na DDC Mlimani Park
Hhhhhhhhhh mjazie mafuta tu mkuuMkuu mpe kirikuuu...na umsimamie haswa....utakuja kunishukuru badae...na pengine akawa ndio msaada kwa wadogo zake na marafik zake watakuja kumuogopa baadae kwa ukwas alio kuwa nao baada ya miaka 5...bora hta huyo...wangu kazungusha 360 nyuz...hapa ndio namjazia mafuta...apambane
Hhhhhhhhhhhhhhhhhh bure kabisaaa uyooMsikilize na yeye anataka nini kuna dogo mmoja alitusumbua .Akatafutiwa chuo akalipiwa na hostel siku ya kwenda akagoma .Akadai yeye anataka Udj na utangazaji.Bahati nzuri wakalitupa JKT sasa hivi ni lipolisi .Kutwaa kumposti Konde boy.Bure kabisa.
Angalau kawa hata polisi aisee.Hhhhhhhhhhhhhhhhhh bure kabisaaa uyoo
Mngempa anachohitaji mkuu na mnemuongoza sawasawa, may be angefanya vema na leo angekuwa kama wakina Dj Mafuvu, Ommy crazy, D Ommy etc.. kila siku showMsikilize na yeye anataka nini kuna dogo mmoja alitusumbua .Akatafutiwa chuo akalipiwa na hostel siku ya kwenda akagoma .Akadai yeye anataka Udj na utangazaji.Bahati nzuri wakalitupa JKT sasa hivi ni lipolisi .Kutwaa kumposti Konde boy.Bure kabisa.
Mzee wake kwa hilo aligoma .Option ikawa aende JKT ili asipoteze muda bure ,bahati nzuri akapata ajira ya upolisi ila kwa navyouona muelekeo wake huyu atanunua vyombo vyake vya udj na kuliendeleza.Mngempa anachohitaji mkuu na mnemuongoza sawasawa, may be angefanya vema na leo angekuwa kama wakina Dj Mafuvu, Ommy crazy, D Ommy etc.. kila siku show
Kama unauwezo mpeleke chuo cha afya private akijielewa ata toboaa tuuuCIV - D
GEO- D
ENG- D
KISW- C
CHEM-D
BIO- D
Kama mnavyoona wakuu hayo matokeo ndo all the hardwork dogo ka score hapo
Mwenyewe anataka aende chuo kusomea afya aanze na certificate
Naomba ushauri wenu wadau muhimu sna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]afande wa bongo flevaMsikilize na yeye anataka nini kuna dogo mmoja alitusumbua .Akatafutiwa chuo akalipiwa na hostel siku ya kwenda akagoma .Akadai yeye anataka Udj na utangazaji.Bahati nzuri wakalitupa JKT sasa hivi ni lipolisi .Kutwaa kumposti Konde boy.Bure kabisa.
Akienda uko kurudi hai Ni 50/50sasa kuwa Polisi huoni ameshatoka kwenye utegemezi wa Familia??hapo atafute connection tu apate nafasi ya kwenda kulinda amani nje huko,akirudi anakuwa ameshatoboa maana kule wanalipwa USD
Hatari hako kauniform sasa,suruali imebanwaa imekuwa kama mfuko wa gita.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]afande wa bongo fleva
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akawe baa medi au?ajiunge na DDC Mlimani Park
Hizi ndo requirement za nursingCIV - D
GEO- D
ENG- D
KISW- C
CHEM-D
BIO- D
Kama mnavyoona wakuu hayo matokeo ndo all the hardwork dogo ka score hapo
Mwenyewe anataka aende chuo kusomea afya aanze na certificate
Naomba ushauri wenu wadau muhimu sna