Kwa akili hizo asiende afya atakuja kutuchoma sindano za ng'ombe, mpeleke cbe akasomee biasharaCIV - D
GEO- D
ENG- D
KISW- C
CHEM-D
BIO- D
Kama mnavyoona wakuu hayo matokeo ndo all the hardwork dogo ka score hapo
Mwenyewe anataka aende chuo kusomea afya aanze na certificate
Naomba ushauri wenu wadau muhimu sna
Aanzie certificate biashara au kilimo.CIV - D
GEO- D
ENG- D
KISW- C
CHEM-D
BIO- D
Kama mnavyoona wakuu hayo matokeo ndo all the hardwork dogo ka score hapo
Mwenyewe anataka aende chuo kusomea afya aanze na certificate
Naomba ushauri wenu wadau muhimu sna
seriously?Kwa akili hizo asiende afya atakuja kutuchoma sindano za ng'ombe, mpele cbe akasomee biashara
Yeah!seriously?
🤣🤣🤣🤣Msikilize na yeye anataka nini kuna dogo mmoja alitusumbua .Akatafutiwa chuo akalipiwa na hostel siku ya kwenda akagoma .Akadai yeye anataka Udj na utangazaji.Bahati nzuri wakalitupa JKT sasa hivi ni lipolisi .Kutwaa kumposti Konde boy.Bure kabisa.
hahahahahahhahaaaa nimecheka vibayaMsikilize na yeye anataka nini kuna dogo mmoja alitusumbua .Akatafutiwa chuo akalipiwa na hostel siku ya kwenda akagoma .Akadai yeye anataka Udj na utangazaji.Bahati nzuri wakalitupa JKT sasa hivi ni lipolisi .Kutwaa kumposti Konde boy.Bure kabisa.
Ni hatari na alipata D masomo yote kumi na moja ,watu wanahangaika limekaa kimya tu.hahahahahahhahaaaa nimecheka vibaya
yan mimi ninacheka kama mjinga vinakera lakin hakuna namna saa hizi angekua anakesha kupiga mizikiNi hatari na alipata D masomo yote kumi na moja ,watu wanahangaika limekaa kimya tu.
[emoji23][emoji23]Kilaza huyo akienda Afya atakuja kutuua tu kwa kutuchanganyia Dozi
Ilikuwa kali ya mwaka dogo anadai haendi popote ,kusoma sio kitu chake anataka Udj na utangazaji baasi.yan mimi ninacheka kama mjinga vinakera lakin hakuna namna saa hizi angekua anakesha kupiga miziki
ndoa ni kama kununua shati dukani, unakwenda napesa yako unachagua litakalokuvutia, kisha unalinunua linakua lako, siku zote vya kuagizwa lazima vitolewe kasoroMadam s naomba nitafutie ostadhaat wa kuoa
haha hio udj mimi ndio inanifurahisha duh mtihani wa watoto huu hapo lazima busara ya wazaz hasa baba ilitumika yan kama naona baba alivyoamua kama nguzo ya familiaIlikuwa kali ya mwaka dogo anadai haendi popote ,kusoma sio kitu chake anataka Udj na utangazaji baasi.