Kwa mara ya kwanza Tsh Milioni 350 imeingia kwenye account

Mkuu mie mwenyewe nishaanzisha mtiti huku nyumba ya urithi iuzwe.
Nipate mahela kama wewe.
Niweke heshima bar na jf...
Yaani mtiti nishauanzisha la sivyo wanipe fungu la baba yangu..
Watatoa wapi sijui...Ninachotaka mie ni hela.
Nikipata hizo nazitumbua.
Zikiisha hizo nauza nyumba ya baba yangu pale, nikimaliza nauza nyumba ya mama wa kambo aliyopewa na mzee, nikimaliza nauza nyumba ya mama watajua wenyewe wataenda kukaa wapi.
Hainihusu maana kama wao baba hawakuachia urithi ni wao.
Mie lazima niuze jasho la baba yangu.
Haiwezekani hadi umri huu akaunti haijawahi kusoma million mia.
#urithi# urithi# kwa maendeleo yetu.
 
Wazazi wanapotutoka sio jambo la kufurahia na urithi si jambo la kulikimbiza au kulazimisha hutokea tu automatikale the way Huwezi kuchagua mzazi ispokuwa hujikuta tu umeshazaliwa katika familia fulani
 
Yaani nyumba zote za urithi halafu nikubali kuishi kinyonge?
Mtu ukimuambia una nyumba Kinondoni hakuamini sababu mwonekano na mfuko hauna hela.
Ukimuambia una nyumba kariakoo na magomeni ndo kabisa hakuelewi sababu unatembea kwa miguu na jasho linakuvuja.
Cha muhimu kuuza tu heshima ipatikane.
Wazazi wanapotutoka sio jambo la kufurahia na urithi si jambo la kulikimbiza au kulazimisha hutokea tu automatikale the way Huwezi kuchagua mzazi ispokuwa hujikuta tu umeshazaliwa katika familia fulani
 
I Yaelekea wewe ni kitukuu au njukuli mtoto wa mjukuu huna mamlaka yoyote hapo!
 
We sio muda mrefu utarudi kutuomba kazi tu.Usitukane mamba kabla hujavuka mto.

350M ni pesa kidogo sana isikutie wazimu.

Huku nilipo tuna mtoto alikuwa wa tajiri mkubwa na alipewa kusimamia malori zaidi ya 100 na baba yake,lakini hivi ninavyoandika hana hata hela ya kununua mzinga wa konyagi.

Acha Mungu aitwe Mungu
 
Nilidhani utaonesha hizo mil 350 ama useme ulipozipata, kumbe umekuja kutukana wazazi wetu??

We kweli hamnazo.... shukuru Mungu umezaliwa ulipozaliwa ila usitukane wazazi wa wenzako, maana hakuna aliyechagua pa kuzaliwa.
achana na hawa vijana wapumbavu waliozaliwa dar. Utakuta hapo alipo ameishia form four two alichokuwa anasubiri ni hiyo mirathi na wanagawana na wenzake kama 20 hivi maana baba alikuwa na wake kibao. Akitoka hapo anakwenda kwenye madanguro na kujifanya ana bodyguard, baada ya mwezi ameishiwa anazunguka kwenye mabaa akiwa na gitaa eti ni msanii anaimba kwa malipo...

hawa wapuuzi tulishawazoea wako jangwani, manzese na maeneo mengine ya wenyeji.... maisha yanawapiga wameshakuwa reject kabisa
 
Mbona mimi nasubiri Billion 3,037,507,500 na situkani na kukebehi Wengine na Koo au familia zao?
Hiyo bila shaka ni mauzo ya kiwanja, hongera lakini hacha dharau
 
Naona mnanipa kila aina ya dua mbaya hiyo 350ml ni sawa na punje ya mchanga katikati ya bahari.
Nina miradi yangu binafsi nina pharmacy 3 so kwa mwezi mil 3,4 hazinipigi chenga.Sitegemei mali ya familia hiyo nyumba tumeuza kutokana na msukumo wa serikali .
Nimetoa big up kwa wazee kwa urithi waliotuachia kama wewe mzee wako alikuacha kapuku ndio uanze kupambana wajukuu zako wasihangaike kama wewe.
 
Wenzako soon tutaagiza
1. BMW 7 series (2020)
2.Audi Q8 (2020)
3.Mercedez Benz S class (2020)
4. Range Rover Sport (2021)
5.Landcruiser V8 (2021)
6 Ford Ranger (2021)
ACHA Dharau na hizo million 350
 
Wenzako soon tutaagiza
1. BMW 7 series (2020)
2.Audi Q8 (2020)
3.Mercedez Benz S class (2020)
4. Range Rover Sport (2021)
5.Landcruiser V8 (2021)
6 Ford Ranger (2021)
ACHA Dharau na hizo million 350
Thamani ya eneo langu moja la 60*60 nanunua gari 3 hizo ulizo orodhesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…