alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 408
Ben saanane, njoo huku kuna watu wanakusemea kuwa umeonewa.Je ni ya kweli haya au ni haki yako kura 26
Mbunge anayemaliza muda wake Joseph R. Selasini wa jimbo la Rombo alishaonesha kukataliwa zamani kutokana na utendaji wake jimboni.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.
Watu 26 waliompa Ben Kura hawawezi kuleta mpasuko!
huyu dogo kwa machungu tu naona anachungulia JF na kutoka, Kampeni za kupitia mitandao ni uzushi na uongo maana humu ndni Member wanaoLIKE ni zaidi ya 26 sasa yeye akajua na KURA ni hivyo hivyoNingekuwa Ben ningeachana na siasa manake mwishowe anaweza pata kiharusi. Kaanzia BAVICHA , akakatwa akajaribu tena Akakatwa na leo tena wamemkata!
3. Matokeo ya Kura za maoni nafasi ya Ubunge Jimbo la Rombo
- Joseph Selasini 313
- Masika Fratern 56
- Hugho Kimario 01
- Bernard Saanane 26
- Dominick Tarimo 01
Pambafu kabisa wewe Dik!!! Kwani wewe ni nani hasa ujitambe kuwa kura yako ina turufu!!!Mbunge anayemaliza muda wake Joseph R. Selasini wa jimbo la Rombo alishaonesha kukataliwa zamani kutokana na utendaji wake jimboni.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.
Mbunge anayemaliza muda wake Joseph R. Selasini wa jimbo la Rombo alishaonesha kukataliwa zamani kutokana na utendaji wake jimboni.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.
Mbunge anayemaliza muda wake Joseph R. Selasini wa jimbo la Rombo alishaonesha kukataliwa zamani kutokana na utendaji wake jimboni.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.
Ni Kweli Dik
Selasini hapati Kura kuanzia Mashati mpaka Tarakea, CCM wakisimamisha mtu mzuri anapita
CHADEMA fanyeni utafiti, acheni ubishi....
Selasini ameshawanunua watu hapo Rombo,
Selasini ameleta maendeleo gani rombo
Selasini yawezekana ni USalama wa Taifa
Mbunge anayemaliza muda wake Joseph R. Selasini wa jimbo la Rombo alishaonesha kukataliwa zamani kutokana na utendaji wake jimboni.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.
Rudi studio kajipange upya hamna kitu kama hicho rombo wala 30 hana mpinzani hata huyu Ben hafahamiki kabisa
Magamba mkae mkijua rombo mpinzani umeota mizizi hata cdm wakisimamisha jiwe vs gamba, jiwe litapata kura nyingi zaidi
Tusubiri oktaba 25. Mbivu na mbichi hadharani