Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,281
Lindeni kura za 30 maana saa8 anaweza mfitinisha mpaka akampotea km ZittoMuongo mkubwa gamba wewe mimi ni mmoja wa waliompigia kura Selasini na cjapewa rushwabali nimependa utendaji wake refer serikali za mitaa.Pia hao wanaccm wanaoshangilia siwaoni su wewe upo rombo ipi?
30 nimemuona Bungeni hapa Dodoma hoja zake zote ni za kimantiki na kiutu uzima sio km za kitoto ambazo Ben=saa8 anawaletea waRombp mara andamaneni mara Mkuu wa Wilaya afutwe kazi nk