Mbunge anayemaliza muda wake Joseph R. Selasini wa jimbo la Rombo alishaonesha kukataliwa zamani kutokana na utendaji wake jimboni.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.
Jana kumefanyika kura za maoni akashinda baada ya kuwabwaga wapinzani wake Ben Saanane na Fratern Masika. Sipingi kushinda kwake ila kulikuwa na rumous nyingi za huyu bwana kutoa rushwa.
Leo bendera za CCM zimepandishwa sana mitaani kutokana na hasira za watu. Fanyieni kazi jambo hili pale walalamikaji watakapowasilisha ushahidi.
Mimi ni mwananchi wa kawaida, ila "BORA NISIPIGE KURA KULIKONI KUMPIGIA SELASINI". Chama kimepasuka Rombo, CCM wanashangilia.