Kwa mara ya kwanza na-report Mzumbe university first year nilikua disappointed sana na mazingira

Kwa mara ya kwanza na-report Mzumbe university first year nilikua disappointed sana na mazingira

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Mambo ntakayoyafanya nikìwa Rais wa Tanzania kwa Kuboresha mazingira ya vyuo na kua ya kisaaa kama ifuatayo
  • Kuhakikisha ndani ya campus za vyuo vya serikali barabara zote zinapigwa lami
  • Kuhakikisha ndani ya campus za vyuo vya serikali kunapigwa pavement hapawi na vumbi
  • Vyoo vinatoa maji 24/7
  • Majengo yanaboreshwa yale yaliyochoka
 
Mambo ntakayoyafanya nikìwa Rais wa Tanzania
  • Kuboresha mazingira ya vyuo na kua ya kisaaa
  • Kuanzisha journal zetu ambazo zitaboreshwa na hata watu wa mataifa mengine watakuwa proud kwa articles zao kuchapishwa kwenye journal za hapa Tanzania
Team Dennis 255713520180
View attachment 3346232
Mj sec imetoa ma genious,
 
Vyuoni ndani ya campus Panatakiwa patapigwa pavement naazungira yatakua masafi, barabara za lami zitapigwa lami

Architect ya majengo itakua nzuri na yanayopendeza
 
Wakuu Castle_Lite na dosho12 rais Leo katema point zenye uhalisia wa kweli wa mazingira yetu
Watamuelewa tu kidogo kidogo, ila kwa upande wangu kila siku anatema point sema Kwa upande wa Astrophysics na quantum mechanics Tanzania bado tupo nyuma. Na hatuna curiosty nikisema yule sio ngombe wakati ni ngombe hakuna atayeuliza kwa nini ila watabisha wote acha bangi 😁😁😁
 
Back
Top Bottom