sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Je, Mwabukusi atakubali kuwa katibu mkuu wa Sauti ya Tanganyika political party?
Kuna chama ambacho Dr. Slaa yupo nyuma yake inasemekana atakuwa mwenyekiti na katibu mkuu wake ni Wakili Mwabukusi sasa tunaiona Mbeya inaenda Kwa mara ya Kwanza kutoa kiongozi Makini na komandoo.
Karibu Tanganyika political party.
Kuna chama ambacho Dr. Slaa yupo nyuma yake inasemekana atakuwa mwenyekiti na katibu mkuu wake ni Wakili Mwabukusi sasa tunaiona Mbeya inaenda Kwa mara ya Kwanza kutoa kiongozi Makini na komandoo.
Karibu Tanganyika political party.