Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,759
- 218,380
Wakili Mwabukusi ( Mayweather ) ambaye ni miongoni mwa Watetezi Wakubwa wa Mali za Nchi, akizungumza kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari leo Julai 12, 2023, amempa siku 7 tu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuomba radhi hadharani kwa kumshambulia kabla hajaburuzwa Mahakamani.
Inatarajiwa Homera ataburuzwa Mahakamani wiki ijayo akishitakiwa yeye kama Homera bila kushirikisha cheo chake cha Kuteuliwa.
Usiondoke JF.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Inatarajiwa Homera ataburuzwa Mahakamani wiki ijayo akishitakiwa yeye kama Homera bila kushirikisha cheo chake cha Kuteuliwa.
Usiondoke JF.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka