RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,475
- Thread starter
- #61
Ndio mkuu, sasa lazima machine iwe iko calibrated, sasa jiulize zinacalibretiwa wapi?. Haya hapa bongo hakuna kampuni yakitanzania au wazawa ambayo inafanya calibration of vertical large tank(unground tank), kuna kampuni yakihindi ndio inapiga madeal, haya nenda huko migodini uone, hakuna kampuni yakibongo inayofanya calibration za weigh bridges, wamejaa makaburu ndio wanacalibrate , wabongo wengi wanahangaika tu kufanya maintenance na verification.hapo nimekuelewa nafikiri lengo ni kupima compaction ya barabara.
Hawa Tanroad tu, baadhi ya machine zao wanaita wasouth Africa wacalibrate, nachache huwa wanapeleka C-lab , na TBS ingawa hao C-LAB wenyewe hawana kibali chakufanya calibration, wanachofanya wanaact madalali wakampuni moja hivi ya UK, ndio inakuja kucalibrate baadhi ya vifaa.