Kwa maendeleo haya, JK anastahili pongezi!

Kwa maendeleo haya, JK anastahili pongezi!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,643
Reaction score
14,642
View attachment 56167
Mlima Hanang kulia.
View attachment 56168
Mlima Babati.

Jamani tumpe haki yake JK kwa maendeleo ya miundombinu inayoenda kwa kasi ndani kabisa mwa Taznania.
Sehemu kama za Katesh,Babati kwa muda mrefu zilikuwa zikifikika kwa taabu sana,
Sasa hivi trip ya Singida-Arusha kwa "teksi" ni muda wa saa nne tu.
Bravo JK!!
 
Nafikiri hii ni Kazi ya Mkapa na Magufuli wala sio JK!! JK anakamilisha miradi iliyoaasisiwa na Mkapa akishirikiana na Sumaye istoshe miradi yote hiyo ndio deni la Taifa la tr 14 linalokuhusu na wewe yaani sawa na bajeti yote ijayo ambayo nayo ina mikopo mipya mingine. By the way msikilize Sophia Simba kwenye www.chadema.tv kwa CCM maendeleo ni kuvaa nguo zenye rangi changamfu yaani Njano na kijani
 
upo chini sana kama adi leo unaona barabara ndio maendeleo,walikuwa wapi miaka yote 50 ya uhuru. vipi ile reli ya dar-Arusha ipo.
 
yaleyale where is extra miles he went so far? that is obvious
 
upo chini sana kama adi leo unaona barabara ndio maendeleo,walikuwa wapi miaka yote 50 ya uhuru. vipi ile reli ya dar-Arusha ipo.

Kwaiyo barabara sio maendeleo Duu?!
 
Bado sana, matatizo chongu mzima yamejaa tz hata 1/3 hayajatatuliwa wewe umeona hilo tu. anyway ndio uwezo wako wa kuona mbali sio tatizo lako. eee mola msamehe huyu jamaa
 
upo chini sana kama adi leo unaona barabara ndio maendeleo,walikuwa wapi miaka yote 50 ya uhuru. vipi ile reli ya dar-Arusha ipo.
Hatuna haja ya kulumbana na mtu kama huyu aliye katika giza nene!
 
Bado sana, matatizo chongu mzima yamejaa tz hata 1/3 hayajatatuliwa wewe umeona hilo tu. anyway ndio uwezo wako wa kuona mbali sio tatizo lako. eee mola msamehe huyu jamaa
Jamaa fulani aliwahi kusema mna wivu wa kike!!!!
 
Hilo ni jukumu la serekali mkuu si wanakusanya kodi? Tofautisha kati ya jukumu na fadhila, watanzania wengi wanadhani serekali kuwafanyia kitu ni fadhila wakati sio kweli .

Si hata Al Shabab wanakusanya ushuru?
Au hujui hilo!
 
View attachment 56167
Mlima Hanang kulia.
View attachment 56168
Mlima Babati.

Jamani tumpe haki yake JK kwa maendeleo ya miundombinu inayoenda kwa kasi ndani kabisa mwa Taznania.
Sehemu kama za Katesh,Babati kwa muda mrefu zilikuwa zikifikika kwa taabu sana,
Sasa hivi trip ya Singida-Arusha kwa "teksi" ni muda wa saa nne tu.
Bravo JK!!
Jibu lake wala siyo pongezi. Maendeleo ni haki ya kila mtanzania. JKM atanikonga kama atatuonyesha jinsi kodi yangu inavyotumika!!
 
Umewahi kujiuliza kwa kila jambo moja linalotekelezwa wanachukua "cha juu" kiasi gani kwenda kujengea mahekalu yao?
 
Si hayo tu. Mashule mengi kuliko wakati wowote ule, Vyuo vikuu vingi kuliko wakati wowote ule, Zahanati nyingi kuliko wakati wowote ule, Huduma Serikali zimeboreshwa kuliko wakati wowote ule, Kilimo cha tija kuliko wakati wowote tokea mkoloni. Barabara za lami nyingi kuliko wakati wowote ule, Maji mingi kuliko wakati wowote ule, Demokrasia imepanuka kuliko wakati wowote ule, Huyu Jakaya Mrisho Kikwete anastahili kila sifa ya uongozi, ni kiongozi wa kutukuka.
 
Uliza nani amefadhili hizo barabara? ndiyo maana Tz ni ya tatu duniani kwa kupokea misaada baada ya Iraq na Afghanistan. Kwa hiyo cha Kodi hapo. Hizo ni fedha za wenzetu huko nje ambao wamejinyima wao na kutupa sisi. Sasa badala ya kupongezana ni vyema tukaanza kufikiria namana ya kuzikarabati maana wazungu karibia wanatuchoka kwenye misaada, nchi zao saa nazo zinahitaji misaada. So there is nothing to celebrate, instead we should start thinking on what next misaada ikikosekana
 
Tatizo la magamba longolongo nyingi sana, kwa mtaji huu 2015 kazi mnayo coz people sasa hivi wameelimika sana.
 
serikali inatakiwa ijenge kilimota 10 imejenga 3 unataka tuipongeze? acha utani dogo!
 
yaani hujui kwamba hio ni pesa yako wamesha chezea wee kupanda ndege na kushuka iliobaki ndio hio wao watumie tuje kulipa watu wote deni la taifa hizo barabara wamekopa.
pesa wanayokusanya toka kwetu wana nunua m vx bmw, volvo na benz na nissan za kutembelea ikulu halafu nyie na sisi tukiugua wabebwa na bajaji .....hospital mtu 3 kitanda moko
 
Back
Top Bottom