Sasa unashauri Nini kifanyike mkuuKwa mifumo iliyopo Tanzania hata rais awe Tundu Lissu, Makamu Lema, Waziri Mkuu Mbowe, Waziri wa mambo ya ndani Sugu, IGP Mnyika, CDF Yeriko Nyerere, Waziri wa Katiba Msigwa, Mkuu wa TAKURURU Heche, CAG Zitto, Uchumi Lipumba, Madini Mbatia.... madudu yataendelea tu. Ni falsafa ya Mtanzania kuwa akipata madaraka ni lazima aibe; na asipoiba akaja kuondoka madarakani hana kitu jamii hiyo hiyo inamgeuka na kuanza kumcheka na kumuita mshamba huku mafisadi yakitukuzwa kwa kuitwa matoto ya mjini, majoka makengeza....
Na kubadili falsafa ya jamii, kujenga mifumo imara na kuleta mwelekeo mpya wa jamii ni suala la muda mrefu na lenye kuhitaji vizazi kadhaa. Nyerere alijaribu sana katika hili lakini tatizo ni kwamba kumbe hata yeye alikuwa peke yake. Alipoondoka akaondoka na falsafa zake japo yeye mwenyewe alikuwa mwadilifu kabisa kabisa. Hata watu aliowaamini sana kama mwanafunzi wake Ben na komredi Kingunge nao wakaja kumgeuka na kuwa wapigaji tu. Kwa hivyo haitoshi tu kiongozi kuwa mchapakazi na mwadilifu, bila kubadili mifumo na fikra za jamii ni kazi bure.
Kwa hali ya sasa, Tanzania hii hata atawale nani (ukiwemo wewe mwenyewe), madudu na upigaji vitaendelea tu. Na ukijifanya wewe ni mkali, utakuwa na maadui wengi wa ndani na nje; na ukizubaa unaweza hata kuuliwa.
Mwendazake alijaribu sana. Tena kwa ukali mno lakini wapi. Upigaji uliendelea tu japo pengine ulipungua kidogo na ulikuwa unafanyika kwa kujificha ficha kidogo na siyo waziwazi kama kwa watangulizi wake.
Ni rahisi kuongea kishabiki kuhusu haya mambo lakini ukiyaangalia kwa undani wake ni mazito na yenye kusikitisha sana!
Taarifa ya CAG ilianza kusomwa hadharani enzi za utawala wa JK (kama sikosei) na kabla ya hapo taarifa taarifa hiyo ilikuwa ni miongoni mwa siri za serikali.Wakuu na wadogo wa JF.
Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.
Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.
Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.
Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.
Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.
MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.
Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.
Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.
Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.
Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.
Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.
MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Angalia comment #65 ya kamanda Agresive. Nimeupenda mfano wa Rwanda. Ila tu tutambue kuwa huu ni mkakati endelevu na siyo suala la kufumba na kufumbua.Sasa unashauri Nini kifanyike mkuu
RasilimaliInaumiza Sana kuona mtu mnaye muamini ndiye anaye waumiza ,Kwa mikwala ya JPM watu tulidhani Ni mlinzi wa lasilimali za nchi, kumbe hamna kitu!
Shemeji nije with au without?Shemeji njoo nikupikie kitawa
Duhh aisee mwaka gani umemaliza mwereMla nchi, ni mwananchi. Nikiwa darasa la saba kwenye mtihani wa kujipima pale shule ya msingi Mwere, Morogoro, niliikosa hii methali kwenye mtihani. Mwalimu alinilaumu sana!
Wewe hujawahi kusoma ripoti za CAG. Ungekuwa unazisoma hungeweza kuanzisha thread kama hii kwa kufuata snippets za headlines tu kwa CAG agundua "madudu". Hata hii ya sasa ni wazi hujaisoma ila unongelea hayo ya mitaani tu.Wakuu na wadogo wa JF.
Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.
Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.
Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.
Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.
Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.
MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.
Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.
Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.
Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.
Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.
Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.
MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Kwahiyo Watumishi Wa Umma miaka 5 bilabila no nyomgeza ya Mshahara,madaraja,increment kumbe ndiyo hela tulikuwa tunawalisha wahuni hawa siyo? Mama tuangalie waja wakoNdiomaana alikua anahangaika na kufungia wanaharakati na vyombo vya habari ili uozo wake usijulikane yaani kaaibika hata hajaoza vizuri shwenzyyy
Mama msikivu kashaomba ripoti ya January mpaka March... huwezi jua labda anataka kuzinguana na mtuAlipomuweka mpwa wake kuwa pay master general ndipo spices za upigaji zilianza kunukia.
Sijasoma Mwere. Pale tulikuwa tunaenda kufanya mitihani ya ujirani mwema. Zaidi ya miaka 20 iliyopita.Duhh aisee mwaka gani umemaliza mwere
Sawa,ila la kushukuru ni kuwa dhalimu is no moreNajua unapenda kutukana na kukashifu wengine. Hiyo ni haki yako japo ingependeza mno kama pia ungeheshimu maoni ya wengine kwa sababu nao wana haki ya kutoa maoni yao sawa tu na wewe. Hapo hata sijui Usukuma unaingiaje kamanda.
Mimi sipo katika ushabiki wenu huu wa kisiasa uliopitiliza kwa sababu hautufikishi po pote wala kutusaidia cho chote. Kama mifumo ni hii hii, na taasisi zetu ni hizi hizi legevu hata uje wewe mwenyewe uwe rais tutaendelea kupigwa tu. Hiyo ndiyo hoja yangu ya msingi. Hata kwa huyu mama tutaendelea kupigwa tu...na atakayekuja....na ajaye...na mwingine...
Mpaka lini?
Dotto siku zake zinahesabika...Jiwe alikuwa ni muhuni tu pia mwizi na jambazi aliyeliibia Taifa letu kuliko mtu mwingine yeyote yule. Na yule mwizi mwenzie Dotto James anajua wizi wao wote tangu 2015 hadi anafariki.
Good. Let's celebrate with a nice dinner, if that is cathartic to our tortured and tired psycheSawa,ila la kushukuru ni kuwa dhalimu is no more
Usimtukane Marehemu,yeye alishafanya kwa sehemu yake,waliobaki nao wafanye sehemu yao.Ndiomaana alikua anahangaika na kufungia wanaharakati na vyombo vya habari ili uozo wake usijulikane yaani kaaibika hata hajaoza vizuri shwenzyyy
Umenikumbusha kesi za kubambikizwa za uhujumu uchumi, kumbe wenye hizo kesi wapoIyo ni sawa, mtu akila mali za umma asiachishwe kazi tu, up ni uhujumu uchumi kwahiyo ashtakiwe na alikuwa na makosa afilisiwe yy na familia yake pamoja na yeye kwenda jela mpaka kifo nikute huko na sio kupelekwa muimbili akafagie🙅♂️