Kwa madudu anayoanika CAG, kumbe Magufuli uongozi wake ulikuwa sifuri tu

Uko sahihi lakin Rais ndiyo mkuu wa yote, ukipokea ushauri, ukaweka sheria zinazotekelezeka hali inaweza kupungua.

Mfano Rwanda nasikia ukiiba na ikabainika wazi,

unawekwa wazi, kwenye media, ndg zako wote wanachunguzwa na ukoo na kuna uwezekano mkubwa hata ndg zako wote walioko serikaln wakaachishwa kazi maana hiyo familia hamuaminiki.

Hivyo kuna sheria ambazo kabla ya serikal kukumulika unakarishwa na ukoo kukuonya maana utaponza ukoo wote na familia.

Nchi za china na kwa Kim mzee wa kidukuu mbona haya mambo hayapo,

Ukiwa dikteta na sheria sahihi wizi unaweza kuisha bana,,ila shida wapi uliona mtu aliyeiba pesa nyingi akafungw tz, unaiba mamilioni unafungwa miezi au,kifungo cha nje na kufagia mhimbili
Kwa mifumo iliyopo Tanzania hata rais awe Tundu Lissu, Makamu Lema, Waziri Mkuu Mbowe, Waziri wa mambo ya ndani Sugu, IGP Mnyika, CDF Yeriko Nyerere, Waziri wa Katiba Msigwa, Mkuu wa TAKURURU Heche, CAG Zitto, Uchumi Lipumba, Madini Mbatia.... madudu yataendelea tu. Ni falsafa ya Mtanzania kuwa akipata madaraka ni lazima aibe; na asipoiba akaja kuondoka madarakani hana kitu jamii hiyo hiyo inamgeuka na kuanza kumcheka na kumuita mshamba huku mafisadi yakitukuzwa kwa kuitwa matoto ya mjini, majoka makengeza....

Na kubadili falsafa ya jamii, kujenga mifumo imara na kuleta mwelekeo mpya wa jamii ni suala la muda mrefu na lenye kuhitaji vizazi kadhaa. Nyerere alijaribu sana katika hili lakini tatizo ni kwamba kumbe hata yeye alikuwa peke yake. Alipoondoka akaondoka na falsafa zake japo yeye mwenyewe alikuwa mwadilifu kabisa kabisa. Hata watu aliowaamini sana kama mwanafunzi wake Ben na komredi Kingunge nao wakaja kumgeuka na kuwa wapigaji tu. Kwa hivyo haitoshi tu kiongozi kuwa mchapakazi na mwadilifu, bila kubadili mifumo na fikra za jamii ni kazi bure.

Kwa hali ya sasa, Tanzania hii hata atawale nani (ukiwemo wewe mwenyewe), madudu na upigaji vitaendelea tu. Na ukijifanya wewe ni mkali, utakuwa na maadui wengi wa ndani na nje; na ukizubaa unaweza hata kuuliwa.

Mwendazake alijaribu sana. Tena kwa ukali mno lakini wapi. Upigaji uliendelea tu japo pengine ulipungua kidogo na ulikuwa unafanyika kwa kujificha ficha kidogo na siyo waziwazi kama kwa watangulizi wake.

Ni rahisi kuongea kishabiki kuhusu haya mambo lakini ukiyaangalia kwa undani wake ni mazito na yenye kusikitisha sana!
 
Wakuu na wadogo wa JF.

Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.

Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.

Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.

Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.

Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.


MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.

Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.

Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.

Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.

Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.

Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.

MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Nikamavile kapisha uchunguzi
 
Wakuu na wadogo wa JF.

Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.

Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.

Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.

Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.

Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.


MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.

Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.

Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.

Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.

Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.

Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.

MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Mkuu risiti ya manunuzi ya ndege ulionyeshwa copy?,Ila wewe ukinunua mafuta Diesel Lita Moja ukasahau kuchukua risiti faini 300000= ,nahapo ujue kila station ina pump Zilizounganishwa na EFD machine automatically.

Mwamba alikuwa MTU mbaya sana,acha alale tu.
 
Jiwe alikuwa ni muhuni tu pia mwizi na jambazi aliyeliibia Taifa letu kuliko mtu mwingine yeyote yule. Na yule mwizi mwenzie Dotto James anajua wizi wao wote tangu 2015 hadi anafariki.
Meko na genge lake walikuwa wapigaji wa kuwekewa mfano...

Alivyompiga chini Prof Assad kipindi kile wacha Mungu tulishajua lengo lake...

Tukapiga goti kumwomba Mungu alikomboe taifa kwa namna anayoona inafaa...

Mungu akajibu maombi yetu kwa kufanya maamuzi magumu...
 
Sijawahi wakubali kwenye uongozi wavaa mabangili wanaushamba wa makusudi
 
Wasukuma buana,kwa hiyo huwataja hao wapinzani ndiyo utetezi kuwa meko na genge lake hawakutupiga?
Najua unapenda kutukana na kukashifu wengine. Hiyo ni haki yako japo ingependeza mno kama pia ungeheshimu maoni ya wengine kwa sababu nao wana haki ya kutoa maoni yao sawa tu na wewe. Hapo hata sijui Usukuma unaingiaje kamanda.

Mimi sipo katika ushabiki wenu huu wa kisiasa uliopitiliza kwa sababu hautufikishi po pote wala kutusaidia cho chote. Kama mifumo ni hii hii, na taasisi zetu ni hizi hizi legevu hata uje wewe mwenyewe uwe rais tutaendelea kupigwa tu. Hiyo ndiyo hoja yangu ya msingi. Hata kwa huyu mama tutaendelea kupigwa tu...na atakayekuja....na ajaye...na mwingine...

Mpaka lini?
 
Inaumiza Sana kuona mtu mnaye muamini ndiye anaye waumiza ,Kwa mikwala ya JPM watu tulidhani Ni mlinzi wa lasilimali za nchi, kumbe hamna kitu!
 
Tumepigwa,sana huku tukipepewa eti wanyonge yaani, ukisikia CAG ukaona watu hawana ajira, unyanyasaji, wafanyakazi,unaweza kusema Asante Mungu,kwa kila jambo maana utabakia na hasira na huna cha kufanya
Watu wameiba sana kwa mgongo wa wanyonge
 
Inawezekana alikuwa analinda lakini wasaidizi wake wametuibia sana sana
Inaumiza Sana kuona mtu mnaye muamini ndiye anaye waumiza ,Kwa mikwala ya JPM watu tulidhani Ni mlinzi wa lasilimali za nchi, kumbe hamna kitu!
 
Wakuu na wadogo wa JF.

Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.

Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.

Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.

Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.

Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.


MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.

Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.

Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.

Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.

Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.

Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.

MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Watanzania sijui tumerogwa na nani. Hivi kwa mtu ambaye ana dhamira ya kweli ya kupambana na ufisadi angediliki kuzuia vyombo vya habari visifanye kazi zake kwa uhuru. (Mfano Mwanahalisi liliandika habari ya ufisadi ndani ya ofisi ya mkuu ) kwa habari hiyo likafungiwa moja kwa moja mpaka leo.
Je mtu anayetaka kupambana na ufisadi angediliki serikali kujitoa kwenye mkataba wa kuendesha serikali kwa uwazi?

Hatujiulizi kwa kitendo cha kujitoa kwenye huo mkataba lengo ilikuwa ni kuficha kitu gani?

Je mtu anayetaka kupambana na ufisadi angethubutu kunyamazisha wapinzani na wanaharakati ambao kwa kiasi kikubwa ndio whistle blowers wa vitendo vya ufisadi kutoka kwa watendaji wa serikali?

Majibu ya maswali hayo ni kwamba tulitumia nguvu kubwa kuminya hizo taarifa oli wakati tunapiga asiwepo wa kutubughudhi.
Kwanini hakutaja maovu yote kwenye serikali ya Hayati?
Angeanzia wapi wakati alipigwa mkwara kwamba asiende kujifanya nayeye ni mhimili mwingine wa serikali.
 
Back
Top Bottom