Kwa madudu anayoanika CAG, kumbe Magufuli uongozi wake ulikuwa sifuri tu

Kila utawala huwa unasemwa hata mkwere ulisemwa na kulionekana Kama hakuna kilichofanyika! We weka kitabu mkononi na endelea kusoma utaona mapya! Mbona bado yanakuja.. huu ni mpevuko wa taifa letu kuingia ktk sura mpya na hiyo nafasi ni wananchi ndo wakuchagua ila sio viongozi!.. keep it in your mind.
Kuna wizi,mkubwa sana sana sana
 
Ukisikia hii taarifa ya CAG unaweza kupiga ukunga hlf ukalinganisha na hali ya maisha ya Watz.
Ila Tatizo Lipo
Hawa Walikuwa Kimya Wakibomoa Mema Ya Nchi Wenyewe. Leo Wanaumbuka Sasa
Wakati Wa Nyani Kumkana Mwanaye Umefika Sasa
💣💤👣👣🕶🕶
 
Meko na genge lake walikuwa wapigaji wa kuwekewa mfano...

Alivyompiga chini Prof Assad kipindi kile wacha Mungu tulishajua lengo lake...

Tukapiga goti kumwomba Mungu alikomboe taifa kwa namna anayoona inafaa...

Mungu akajibu maombi yetu kwa kufanya maamuzi magumu...
Ukisikia,anachosema CAG kama wewe ni mzalendo unataka hii keki tugawane wote kwa hasira unaweza kuhama nchi
 
Jiwe alikuwa mtaalamu wa propaganda sana na aliwafanya watanzania kama watoto wadogo wasio na uwezo wowote wa kufikiri.

Yeye na vibaraka wake walivyokuwaga wakisema SGR na stigler gauge zinajengwa kwa fedha za ndani 100% bila aibu nilikuwa nashangaa sana, cha kushangaza hakuna hata media moja ilihoji kwanini wanadanganya wakati ushahidi upo walikopa.
 
Wakuu na wadogo wa JF.

Ukisikia hbr ya CAG juu ya jinsi pesa ya serikal inavyotafunwa kupitia watendaji wasio waaminifu kumbe JPM yalikuwa maneno tu na hakuwa na Sumu.

Sina kumbukumbu kamili kama miaka 6 ya jiwe CAG alikuwa anasoma Ukaguzi wake open kama inavyofanyika leo.

Kwa haraka 40% ya pesa ya serikal ilikuwa inaibiwa na wafanya kazi.

Na watu walimuogopa JIWE kipindi cha mwanzo lakini baada ya hapo wizi ulikuwa wa kutisha.

Ukisikia taarifa ya CAG utaona wazi kuwa katika kuthibiti mapato serikal ya JIWE haikumudu hata asilimia 50.


MAMA yetu kipenzi ana kila sababu ya kukaa na kamati wabuni mfumo wa kuthibiti wizi huu zaidi ya hapo TZ ni shamba la BIBI.

Pia nashauri MAMA AUNGANE NA KIDUKU KIM WA KOREA KUHUSU SHERIA ZAKE UKILA KUANZIA MILIONI 1, TUNYONGE TU HAKUNA NAMNA.

Mizizi ya Tz kuhusu,wizi kwa watendaji haiwezi kuisha kwa hali tu tuliyofikia kwa sheria zetu hizi lege lege.

Nasikia KAGAME amekomesha kabisa wizi cjw alifanyaje.

Nimeanza kuamini kumbe JIWE kuondoka inawezekana ni mpango wa SIR GOD mtenda haki.

Sifurahi kifo chake lakini tulifichwa mengi.

MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU MBARIKI SSH RAIS WETU MPYA.
Magu alikuwa corrupt kuliko rais yeyote alie wahi kuongoza hili Taifa.
 
Hela ilikuwa inaibiwa na wachache , na wanaiba kweli kweli sababu hakuna wa kuwanyooshea , uwazi ulikuwa hamna ,hela iliyobak wanapewa wachina kwenye kandarasi kubwa nao wanaipeleka yote kwao , huku ndani mnabaki hamna kitu .... Kipind cha kikwete wezi walikuwa wengi na wanawekeza humu humu so hela inamfikia kila mmoja Kwa sehemu yake .... Jiwe alikuwa worst president ever basi Tu tusiongee Sana ....
 
Tawala bora na nguzo zake inasaidia kuanika haya mambo

Ukiona mtu anaukataa ujue kuna jambo

Mama aruhusu vyama vya upinzani waongee watakusaidia kupunguza hawa walaji mchwa
Hali ni mbaya sana
 
Mkuu ni sahihi lakini Tz imezidi hali ni mbaya
Ilani ya ccm 2020 - 2025 inasema tutaendelea kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote.


Haisemi ufisadi umeisha.

Hata Ulaya kina Morinyo, Messi, Ronaldo mara kwa mara tunasikia aamepelekwa mahakamani kwa kukwepa kodi.

Hata Chadema wabunge wengi walihama mwaka jana sababu ya ufisadi michango yao. Kinachotakiwa ni kuendelea kupambana na ufisadi
 
Back
Top Bottom