Kwa madaktari wote

Heheheheh.... niliishia KCMC wodini pale.... si unajua ndo home kwangu pale.....

On serious note, hebu ni PM tutongozane kidogo.

nachukiaga watu wanaoacha kuchangia mada iliyopo mezani wanaanza kupigizana stori na wenzao, mimi nikikuona naweza kukutia hata makofi kudadadensa
 

Doctor is the broad name verify pls
Daktsri kiwango cha elimu?
Daktari wa wanyama?
Daktari wa nagonjwa ya binadamu(MD)
Daktari wa magonjwa ya binadamu(miti shamba)

Eleweka

Basi
Njoo unitie moyo!
 
Haleluya Mosha nashukuru mungu mchumba ninae tayari nae anafahamu ni jinsi gani naisamini kazi yao

???? Unamchumba kwahiyo lkn sio dokta.!!!! Point ya juu kwa thread inaonyesha huna boyfi daktr lkn unatafuta ili aje akuoe...so huyo ulonae huna mpango nae eeh...asante kwa kuthamini
 

Usipoteze muda kubishana na huyu ticha...wivu umemjaa kwa kupongezwa mwenzie
 
Hahahahaaaa.....wamekusikia. Ila ni wajibu wao kutoa huduma kwa sababu wewe unalipia lkn pia wanapokea mshahara kwa kazi hiyo.
Mi nitumie nafasi hii labda kuwatia moyo na kuwapongeza waalimu wote (isipokuwa wa vyuo) popote walio

Huu ni wivu wa kimaslahi!!
Sisi wenyewe tunaona serikali haijatujali vya kutosha na inadharau sekta ya afya kwa kiwango cha kutishia maisha ya wananchi!.. wewe unaleta majungu badala ya kuungana na hao walimu wenzako kutetea maslahi yenu na jamii kwa ujumla
 

Asante mkuu kwa kumpa elimu ya kujitambua.
Hajielewi huyu!
 

Bahati mbaya hujanielewa. Umenielewa 40%!!!!
 
Bahati mbaya hujanielewa. Umenielewa 40%!!!!

Wewe hujielewi halafu hujielewi kama huelewi...
Mkuu wahi matibabu kabla hujapata psychosocial stressor ika trigger your to be diagnosis.... if you know what I mean.... tehe😛
 
Wewe hujielewi halafu hujielewi kama huelewi...
Mkuu wahi matibabu kabla hujapata psychosocial stressor ika trigger your to be diagnosis.... if you know what I mean.... tehe😛

Thanks papa. Ndo ulikoenda tena, mbona mbali hivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…