Kwa mabinti naomba msaada wenu

kwa kutumia taaluma ya kawaida ya masuala ya afya hiyo haiwezekani kama tarehe aliyo taja ni sahihi, japo naami huenda amekosea tarehe kwa mshutuko alioupata. Usiwe na hasira au haraka ya kugombana nae, nenda kawaone wataalamu wa afya ya uzazi katika hospitali zinazotambulika utapewa majibu ya mtoto ni wako au la na utaimaliza hiyo kesi kirahisi sana. Kwanza punguza hofu za kuogopa kuwa baba ni jambo la kawaida katika maisha na pili kama nilivyo kushauri hapo juu ndenda hosipitali kupata ukweli achana na mahesabu ya ni lini alipata hedhi mabadiliko madogo ya mwili yanaweza kuharibu kabisa huo mzunguko unao uhesabu.
 
Kubali matokeo ndugu yangu - umecheza (rafu) bila kinga. Mimi sina wasiwasi mtoto ni wako, lakini ikiwa humwamini mwenzako, mchukue mkapime. Utaalamu wa sasa umefika mbali kiasi cha kujua umri halisi wa mtoto tumboni. Ninachokushauri, usijisumbuwe bure, mtoto ni wako. Ukimkataa hutakuwa unamtendea haki na iko siku utajuta, pengine hiyo fursa pekee, huwezi kujuwa.

YOTE TISA, KUMI AKILI KICHWANI MWAKO, SI UKO CHUO?
 
Natumaini nyinyi ni wazima wa afya. Naombeni unitatulie ili jambo kwa kunisaidia kwani nina girl friend siku nne zilizopita kaniambia anaisi ana mimba ila mimi ninamashaka kwani ameniambia haoni siku zake.
Mimi linalonitatiza ni mwezi uliopita wa pili tarehe 5 ndo alipata hedhi ila nami nilido naye tarehe 6 mwezi huu so kinachoonekana kwa upande wangu siku yake imepita mpaka tarehe 6 hakuona je inawezekana akapata mimba kwa iyo tarehe niliye do nae?

MY TAKE;
Iyo tarehe aliyopata hedhi mwezi uliopita ameniambia wakati nikimuoji kabla sijamwambia tarehe 6 mwezi huu niliye do nae.

Ingawaje wanaume tumechangia hapa, ninakushauri SOKON 1 ufuate ushauri wa akinadada wengi wanaokupa. Wao kuliko mwengine yeyote, ndio wanaowaelewa wanawake wenziwao, sisi wanaume tunachangia kwa msimamo wa "kidume dume",
 
Huo mzigo c wako, huyo anataka kukubambikia manake tar. Zinaonyesha hiyo k2 c yako. Ila hilo pia fundisho kwa nyie mnaojiita vdume mnapenda kavu kwa nini usifuatilie tar za mwenzako, we ukifka unajua kuchomeka tu bla kujua ni salama au la, na ndo mana inakuwa raic kuwabambikia, angalia sasa starehe ya dk inakugharimu. Unaln hilo
 
hahhaa na hivi bado uko chuo,ushapiga mahesabu ya gharama za mtoto na jinsi utakavyojikimu ukaona mahesabu yanakataa ndio kupelekea kutaka kuikana damu yako mwenyewe?? kubali wewe ni mzembe ungejijua uko shule hutaweza kugharamia mtoto ungetumia kinga-ukome!!!:hatari::hatari:
 
hahhaa na hivi bado uko chuo,ushapiga mahesabu ya gharama za mtotona jinsi utakavyojikimu ukaona mahesabu yanakataa ndio kupelekea kutaka kuikana damu yako mwenyewe?? kubali wewe ni mzembe ungejijua uko shule hutaweza kugharamia mtoto ungetumia kinga-ukome!!!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S-danger.gif" border="0" alt="" title="A S Danger" smilieid="73" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S-danger.gif" border="0" alt="" title="A S Danger" smilieid="73" class="inlineimg" />

Saaly una maneno leo haya kazi kwake
 
chamsingi hapo ni kwenda tu kupima na uusisahau kwamba mwezi feb ulikuwa na 28 days, kwa hiyo yawezekana ikawa yako
 
Asanteni kwa ushauri wenu kwani ulinipa faraja na mingine ikanifanya nifurahi pindi nizisomapo.
Katika maisha ni lazima pawe na mpangilio na kufanya makosa ni kuishi ukiregret ktk kipindi chote cha maisha ndio maana niliomba ushauri wenu ila amekwenda kupima ameambiwa hana mimba.
Nimejifunza na kurudia kosa ni kosa.
 
hahhaa na hivi bado uko chuo,ushapiga mahesabu ya gharama za mtoto na jinsi utakavyojikimu ukaona mahesabu yanakataa ndio kupelekea kutaka kuikana damu yako mwenyewe?? kubali wewe ni mzembe ungejijua uko shule hutaweza kugharamia mtoto ungetumia kinga-ukome!!!:hatari::hatari:

watu wapo chuo wana mabusiness yao ya kuingiza mafuba.
Unafikiri chuo kama primary sch?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom