Bw.Lowasa hapewi Nchi bali anachukua Nchi!
Lowasa anafanya nini huku?
Labda NEC wasimpitishe
lakini kwanini wasimpitishe
wakati nyama choma walikula monduli?
ofcoz utawala una mambo mengi.
Angalia raisi anapoapishwa pale uwanja wa taifa.
Unajua maana ya kile kigoda wewe.
Unajua nchi hii ina maagano ya aina gani?
Rejea hotuba za mwl.nyerere hasa yaliyofanyika bagamoyo.
Na si hapa tz tu.
Ni kwa mataifa yote ya kiafrika.
Mbali na hayo uongozi hutauweza ktk
nchi hizi labda uende huko kwa akina obama.
Nikukumbushe: Labda nikuulize tu mkuu kuwa, hv kama EL hafai kwa ajili ya ufisadi ni nani anayefaa kwenye Manyinyiem? Manake wote hakika wameoza tena ile ya kabisa. Ni nani msafi huko????? EL afadhali zaidi manake alibeba mizigo ya watu na inafahamika hivo.hivi wewe upo dunia ya ngapi.Katika kipindi cha miaka 2 aliyokaa madarakani bwana EL kajenga shule za kata kibao,chuo cha dodoma na mradi wa maji wa ziwa victoria kupeleka mikoa ambayo haikua na maji ya shinyanga,simiyu na Geita.Sasa unvosema hajafanya kitu mie nakushangaa sana na kuhusu ufisadi ile hela walipiga watu wengi sana ila yeye ndiye aliyekua mbuzi wa kafara.
Nikukumbushe: Labda nikuulize tu mkuu kuwa, hv kama EL hafai kwa ajili ya ufisadi ni nani anayefaa kwenye Manyinyiem? Manake wote hakika wameoza tena ile ya kabisa. Ni nani msafi huko????? EL afadhali zaidi manake alibeba mizigo ya watu na inafahamika hivo.
Sio rahisi kumpitisha mpaka sasa
Sijui hapo mbeleni
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?
Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?
Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe Rais wa awamu ya tano?
Hivi wewe tukikuuliza JK alipewa nchi kwa lipi alilofanya utajibu nini???
uwe unakunywa chai badala ya viroba.