Kwa kweli nina wakati mgumu sana na ndoa yangu

Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni wa maeneo ya Ileje sitashangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana umleavyo ndivyo akuavyo
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hatua hiyo hawezi kubadilika. Wewe mchukue nenda nae kwao ukifika waeleze tabia zake zote na namna unavyoumia . Mwisho waombe wakae nae kwa wiki mbili au mwezi hivi huku ukimnyima matumizi yote kwa huo mwezi na ukifunga mawasiliano kabisa . Naamini atatambua kosa lake na kujutia
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Samahani lakini kwa ushauri huu, huyu mwenza wako atakuwa kishapigwa pumbu nje na kuhamishia hisia zake huko ndiyo maana anakuona kama unampotezea muda tu.
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo ni wewe mkuu!,unashindwa kumpiga vikofi viwili tu na mgegedo wa kufa mtu!unakwama wapi mkuu


Sent using IPhone X
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Sent using Jamii Forums mobile app
TAFUNA House girl kimya kimya
 
Kwanza pole sana ,mm nakushauli mrudishe kwao kwa maelezo ya kuwa hana adabu alafu akae huko kwa muda ukiona hajirudi usimrudishe ndani ndio umwache mwisho wa cku mpelekee mabeg yake ya nguo ,akiomba msamaha mrudishe au fanya mambo yako kivyako ushawai mchunia mtu,ww ukirud unakula unacheza na watoto unaenda kulala asubui unamsalia unaondoka zako yaani usiwe na story nae ukiwa na hamu unamwomba mzigo unapiga kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mizigo ipo mingi tu mbona
 
1. Mkuu pole

2. Usijilaumu kwa kuchagua mtu asiye sahihi

3. Mwanamke anahitaji kubembelezwa, ikishindikana

4. Anaonywa kwa maneno na vitendo (isolation policy), ikishindikana

5. Anapigwa, ikishindikana

6. Anaachwa

7. Duniani kuna wanawake wengi sana, hata kama kila siku ukiwa unaacha na kuoa mwingine, utakufa na bado hutawamaliza

8. Fanyia kazi huu ushauri, hutajuta
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi kumpiga hata siku moja ?
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wosia kwa vijana....

1........Oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu, hata km wewe Imani yako ipo limited


2.....Usioe mwanamke aliyekuzidi nguvu..... kwani kuna wakati utahitaji kutumia kofi kumyoosha .



3......Usioe mwanamke aliyekuzidi kipato au mwenye kipato sawa na wewe.....


4........Fanya utafiti wa kina kabla ya kuingia kwenye lifetime commitment (usikurupuke)



Ndoa nyingi za na watumishi wanawake zimeishia njiani...liweke hilo pia akilini. # nyingi sio zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa style iyo bro chapa makofi ya maana mpaka azime... Akizinduka mwambie sipendi zarau afu ondoka om rudi late asubui usimsemeshe mpe kama wiki 1 bila kuongea chochote ila make sure mahitaji ya om unatimiza fresh lazima aombe samahani... Ila ukiendelea kuwa mnyonge ipo siku atakuchapa kofi wewe nakwambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkanye kwa mara ya mwisho,asipobadilika mnyoroshe. Simama kama mwanaume kabla mambo hayajakorogeka zaidi.
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hatua hiyo hawezi kubadilika. Wewe mchukue nenda nae kwao ukifika waeleze tabia zake zote na namna unavyoumia . Mwisho waombe wakae nae kwa wiki mbili au mwezi hivi huku ukimnyima matumizi yote kwa huo mwezi na ukifunga mawasiliano kabisa . Naamini atatambua kosa lake na kujutia
 
Nimefunga ndoa na mke wangu, changamoto huja pale ninapo mshauri jambo ana panic na kubamiza mlango na kutoka nje,huwa na hasira na kuwaka waka sana, yaani huwa ninajiuliza mimi ni dhaifu kiasi hicho heshima sipewi na hapo tuna watoto wadogo wawili maji yamenifika shingoni ninafikiria ku move on.

Mara nyingi nimekuwa nikimwambia dharau haifai ndani ya nyumba, kiukweli nina mtihani sio mdogo,enyi mnaotegemea kuoa chunguza mara mbili mbili msije kujuta kama mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jikaze kaka...naamin umakaa nae muda wa kutosha na umemvulia kwa upungufu alionao....mim nakushauri jitaidi zaidi kukaa nae karibu na kuchunguza zaidi kwa nin anapanic kila muda patakuwepo na sababu...unaweza mjulisha pia mtu ambae yeye mke wako anamweshimu na anaweza tega sikio japo akapata ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom