Kwa kweli mzumbe najuta kuifahamu...!!

NYIE MNAHANGAIKA NA HUYU BURE! YEYE YUKO KWENYE PROMO YA MZUMBE NA PIA ANA KITU ANACHOHITAJI NA SI UGUMU WA SHULE YA MZUMBE. NI NANI ASIYEJUA MAZINGIRA YA MZUMBE?

KAMA TESTS KWA WIKI ZINAKUWA TANO, JE ZINAFINYIKA WIKI YA NGAPI? NA KWA SEMESTER MNAPASWA KUFANYA TESTS NGAPI? PIA UGUMU AU UBORA WA CHUO AU SHULE SI IDADI YA TESTS NDUGU YANGU BALI NI UTARATIBU MZIMA UNAOTUMIKA NA CONTENTS ZA KILE KINACHOHITAJIKA KUWA COVERED KWA SEMESTER HUSIKA. HALAFU PIA KUNA AINA NYINGI SANA ZA KUWATESTS WANAFUNZI NA SI KWA NJIA YA TESTS TU, KWANI UKITEGEMEA TESTS TU, THEN WANAFUNZI WATAISHIA KUKARIRI KWA AJILI YA TESTS NA SI KUELEWA.

MR. MZUMBE, KWASASA KUNA APPROACH NYINGI SANA AMBAZO ZINATUMIKA KUWASAIDIA WANAFUNZI ILI WAWEZE KUELEWA NA SI KUKARIRI ILI WANAPOKUWA KWENYE SHUGHULI ZAO WAWEZE KUJIAMINI NA KUFANYA KAZI VIZURI. Na ktk njia hizi, tests kuwa nyingi si njia sahihi. Shida yako kubwa ni kukosa EXPOSURE NA KUJUA NINI KINAENDELEA NJE YA MZUMBE.

Inavyoonesha wewe mwanafunzi KIA au St.john=mazengo sec!!!chuoni kwnu kipimo assignment nn??
 
mzumbe masomo yao kuimba ngonjera na mashairi hata mtu aliyemaliza darasa la saba anaweza kusoma na akapata gpa ya juu tatizo lww sio msomaji

Msomaji wewe,haya furahi sasa!!kubwa zima linaandika upupu.AU unatumia Misaburi yako kutype.??
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.

Kaza ****** soma kwa bidii ukishindwa nenda Tumaini iringa utapewa cheti chako hata bila kusoma bora uwe umelipa fee yao tu.
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.

sidhani kama nipagumu,hebu uliza Mwenge University kwa aliyesoma pale au anayepafahamu.
 
Mzumbe is just an academic village na sio Military university kama Mr Mzumbe anavyodai. Mwenyewe nimesoma SUA na watu wa Mu wanaongoza kwa kula bata na bash kwa kwenda mbele!
 
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki.
Vyuo vingine maisha kama MU au hapa kumezidi???
Ukiwa kilaza ndani ya semester moja unakuwa ushatengeneza ngoma zako nne {disko wa fail ya masomo ma 4}.
Kwakweli Mzumbe muhisikie huko huko mukiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa,lakini kwa swala zima maisha lazima uwe na roho ya mpaka.
MU=MILITARY UNIVERSITY.
NOTE:
Wadogo na watoto wenu vilaza musiwarusu kuja huku, mwisho mutawapa lawama bure.

Sasa ndugu yangu kama hata kiswahili hujui nawasiwasi na hata uliingiaje hapo mzumbe, nyie ndo vilaza mnao ibia mitihani zeni mnaenda vyuo. Huwezi kutuandikia kiswahili ambacho hata mtoto wa darasa la 3 hawezi kukiandika. Rudi darasana kusoma wewe.
 
Tatizo Mr Mzumbe unakata kiu sana na kuhudhuria vibanda vya chang'aa kule changarawe, kwanini usione maisha magumu?

ha ha ha ha!...kumbe mambo ya kukata kiu bado yapo..kuna mshikaji wangu pale alikuwa bingwa wa izo ishu,haswa kuwakatia kiu mademu.
 
Sasa ndugu yangu kama hata kiswahili hujui nawasiwasi na hata uliingiaje hapo mzumbe, nyie ndo vilaza mnao ibia mitihani zeni mnaenda vyuo. Huwezi kutuandikia kiswahili ambacho hata mtoto wa darasa la 3 hawezi kukiandika. Rudi darasana kusoma wewe.

Wewe kwli HAMNAZO,..kuna mahusiano gani kati ya kujoin MU na kiswahili???huja jipya,wewe ni walewale "cameruni senetors"
 
Kuna jamaa yangu alipata dvsn 3 ya 15, akahonga laki5 akapata nafas hapo mzumbe.....
Mi nafkiri kuna v2 vng vya kujadili zaidi la hlo lako la kufagilia chuo kama utakaa hapo milele,
exposure ikiwa dogo huwa n tatzo, unanikumbusha ka hadth ka bwana kpofu alyepata bahati ya kuona kwa mara1 na kw bahati akamuona ng'ombe kabla hajarudshwa kwenye upofu..bas kila alchockia,ye kwake n km ng'ombe.....
 
Kuna brazaangu ni lecturer hapo hapo mzumbe yaani anawahurumia wanafunzi wa hapo kwani anadai ni vilaza wa kufa mtu, na chanzo ni kuenroll wenye ushindi wa chini,
 
Vituko vingine bana......Huyu mleta post hii nina hofu kama kweli ni mwanafunzi hapo Mzumbe na kama ni mwanafunzi pale sijui alifika hapo kwa mbinu gani, maana hata uandishi wake umeonesha ni kilaza.Kajaribu ujinga ndugu.
 
Back
Top Bottom