Wabunge wa JMT wamerudisha hoja mbili zilizowakilishwa bungeni na serikali leo ili serikali iende ikajipange vizuri.Nawapongeza sana wabunge kwa kuweka maslahi ya taifa mbele.Hoja zilizogoma kupita ni ile kuhusu kupunguza ushuru wa maji toka nje na ile ya marekebisho ya katiba.
Bravo wabunge!
Source: Toka Bungeni,Idodomya!
Bravo wabunge!
Source: Toka Bungeni,Idodomya!