chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,305
Bado msimamo wa chama unawachanganya CHADEMA Uongozi unasema watazuia uchaguzi. Kusaini maadili ni sehemu ya uchaguzi. Nlitarajia Mnyika aende pale akazuie kipengele hiki cha uchaguzi. Hajafanya hivyo, sasa wanataka kuuzuia katika hatua gani?
Alichofanya leo Mnyika ni kususia. Amefanya hivyo kwa maelekezo ya kikao gani cha chama? Chama kimeelekeza akazuie, yeye hajazuia, kaacha kabisaa kwenda, huko ndio kuzuia?
Hii slogan tunaielewa kweli wanachadema wenzangu?
Alichofanya leo Mnyika ni kususia. Amefanya hivyo kwa maelekezo ya kikao gani cha chama? Chama kimeelekeza akazuie, yeye hajazuia, kaacha kabisaa kwenda, huko ndio kuzuia?
Hii slogan tunaielewa kweli wanachadema wenzangu?