Elections 2010 Kwa kumuapisha Shein Wamevunja Katiba ya Muungano?

Nilikuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu hii issue ya Makamu wa rais wa Muungano.... nikafuatilia kwa makini kuapishwa kwa Dr Shein nikitegemea wangeeleza nini kinafuata kwa nafasi ya hiyo kwa muda ambao rais hajaapishwa.
Nadhani mwanasheria mkuu alipaswa kulitolea maelezo
 
Mzee MM, ukiwaza sana mambo ya Tz na watz unapasuka kichwa bure. Unashangaa uvunjifu wa katiba pale zanzibar? JK kaivunja mara ngapi? We uliona wapi amiri jeshi kukaa jukwaani kisha mizinga 21 anapigiwa head of state ndani ya state? Kaagwa head of state state kwa mizinga 21, kakaribishwa head of state state kwa mizinga 21. Maana yake ni kwamba kwa sasa Shein anayo mamlaka ya kupiganisha vita.
Hapo vipi?
 
Mwanakijiji,
kosa moja hupelekea la pili na kadha wa kadha. Wamebaka kura za wananchi. na sasa wanaibaka katiba.
nchi yao hii tuzidi kuwazua namna ya kuwasaidia na kuwaelimisha watanzania wenzetu. it will pay
 
Wakati huohuo wanakataa Mabadiliko ya katiba! KWA KWELI HUU NI UGONJWA NA UNAPOLEA UBOVU BAADAYE YAKAFUMUKA INAKUWA WORSE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…