Kwa kivuko,Dar to Bagamoyo,3hrs

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,263
104,007
Hiki ni kipimo kingine cha upotevu wa mabilioni kwa manunuzi yasiyo na tija yaliyowahi kufanywa na TEMESA chini ya Wizara ya Ujenzi.Magufuli yupo kimya,nani atatusemea?Haiingii akilini mtu akasafiri na kivuko masaa matatu utadhani anaenda Zanzibar.
 
Ukisafiri kutumia barababra ni saa moja tu... Iweje mbadala usiwe na faida/tija??
 
Back
Top Bottom