Kwa kina kaka wenzangu wa JF.....

Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana

I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!

He is not a kid and I am not his mother!
 
Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana

I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!

He is not a kid and I am not his mother!

well said gaijin, sioni sababu ya kumtunza mwanaume kama mtoto!
 
Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana

I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!

He is not a kid and I am not his mother!
But he is your husband! Na hilo ndilo lililo kubwa zaidi!
 
Usimsumbue shemeji yangu kwa nia tu ya kujionyesha wewe kidume. Natumai shem atakuwa atakuwa anakupenda sana na kukurespect pia. Kazi kusaidiana, sio wewe ufanye zote au umtupie zote shemeji akufanyie.
nilichogundua ni kuwa niko fair sana kwenye ndoa lemme keep it up for love and respect
 
@ Dark City... nasema kuwa wengine huwa wanajisahau.... atakuomba umfanyie kitu wakata anajua kabisa utafanya kwa shingo upande(sababu wewe ni gentleman)...mf, mmetembelewa na shosti wake na anakuomba ukaipue sufuria la maharage jikoni(mbele ya shostito wake)...!! Utafanya kwa moyo mkunjufu?!

Wakati mwingine wanatarajia msaada ambapo mazingira hayaruhusu... mwanaume atasaidia huku kiroho kinamuuma kwana nakuwa anahisi kama anaaibishwa....na kakatizo kanakuwaga hapo!!

Nadhani unanipata ninachojaribu kumaanisha.
 
Well. Inategemea unaishi ktk mazingira gani. Hivi ni vitu vidogo sana ndani ya nyumba na sio issue sana kwa mtizamo wangu. Kama house maid yupo hivyo viatu, kupiga pasi nk lazima mama afanye?

Mume ndie mwezeshaji wa yote kuanzia chakula, ada za watoto , matibabu , na gharama za familia kwa ujumla .Msaada anaoupata kwa mama na maid wake ni appreciation kwa jasho loote analotoka kuwaweka walivyo.

Sasa kama baba nae ataanza kuchemsha maji ya kuogea jikoni , apige pasi, adeki nyumba n.k what will be the the woman responsibility in the family?

Hayo mambo mengine ni ya kuiga tu na ambayo nao yamewashinda. Too theoretical to be precise. A good wife won't let the husband to do house chores. A just married couple may think that is a sign of love, in my opinion it is rather the opposite .
Nimekupa Thanks, lakini hapo kwenye red angalia wakija wenyewe humu!!!!
 
Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana

I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!

He is not a kid and I am not his mother!
Kwanza punguza jazba, pili, hakuna mwanume anayependa kufanyiwa kila kitu!...at least not one i know off!
 
Kila mtu afanye kinachompendeza moyoni saa nyingine mwanamke unajitahidi kwa hali na mali kumfanyia vyote lakini appreciation ni zero.
 
Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu kila kitu mfano:

1. Unaamka asubuhi unamuamsha wife akakuwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Akuwekee dawa ya meno kwenye mswaki (asipoweka utaoga kisha utatoka kuja kuulizia mswaki wako)
3. Unatoka bafuni (hapo utakuta pant yako umeivua umeitupia kwenye sink unasubiri aje aifue!)
4. Ukitoka alishakupigia pasi, alishabrashi viatu unavaa, unakunywa chai alokuandalia kisha huyooo funguo za gari zi wapi na ukifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja anakuchelewesha, na asipokimbia na viatu mkononi unamuacha anakwenda ofisini kwa daladala au akifanikiwa kuingia kwenye gari basi utamsema njia nzima.

MCHANA KUTWA HATA KUMPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!

5. Ukirudi jioni ukute chai yako mezani na maji bafuni
6. Utizame TV huku ukisubiri chakula au usome magazeti yako
7. Ukishakula huyooo kitandani unalala huku ukisubiri yeye aje ashushe neti na kukufunika shuka!
8. Aingie kitandani baada ya kumaliza kazi zake umdake tayari kwa chakula cha usiku.

Life continues.......!

Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa na mapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!

Mara moja moja ukimsaidia kushusha net au hata kumpigia na yeye pasi I tell you ataikumbuka kwa muda mrefu na moyo wake kukongwa vilivyo!!

Tafakari, kama imekutachi chukua hatua......!

dah! Hapa mwanamke ni mtumishi wako na sio mpenzi wako
 
Makaka sometimes inabidi nasi mara moja moja tuwe tunayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta kaka mwingine yeye anachojua ni kufanyiwa tu kila kitu mfano:

1. Unaamka asubuhi unamuamsha wife akakuwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Akuwekee dawa ya meno kwenye mswaki (asipoweka utaoga kisha utatoka kuja kuulizia mswaki wako)
3. Unatoka bafuni (hapo utakuta pant yako umeivua umeitupia kwenye sink unasubiri aje aifue!)
4. Ukitoka alishakupigia pasi, alishabrashi viatu unavaa, unakunywa chai alokuandalia kisha huyooo funguo za gari zi wapi na ukifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja anakuchelewesha, na asipokimbia na viatu mkononi unamuacha anakwenda ofisini kwa daladala au akifanikiwa kuingia kwenye gari basi utamsema njia nzima.

MCHANA KUTWA HATA KUMPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!

5. Ukirudi jioni ukute chai yako mezani na maji bafuni
6. Utizame TV huku ukisubiri chakula au usome magazeti yako
7. Ukishakula huyooo kitandani unalala huku ukisubiri yeye aje ashushe neti na kukufunika shuka!
8. Aingie kitandani baada ya kumaliza kazi zake umdake tayari kwa chakula cha usiku.

Life continues.......!

Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa na mapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!

Mara moja moja ukimsaidia kushusha net au hata kumpigia na yeye pasi I tell you ataikumbuka kwa muda mrefu na moyo wake kukongwa vilivyo!!

Tafakari, kama imekutachi chukua hatua......!

raha sana,
ukipata mwanaume wa hivi,
kuna wanawake wengine wana enjoy ndoa kweli!!:smile-big:
 
Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana

I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!

He is not a kid and I am not his mother!
Duh! Naona una hisia kali kweli kweli, hata chembe ya mapenzi na huruma kwa huyo mwandani wako!!?? What if yeye akiamua kukusaidia kazi zako including hivyo unavyodhani vinamdhalilisha kijinsia while he is not your houseboy?
 
Ukitafakari vizuri, utagundua kuwa hizi kazi hapo awali zilikuwa za wanaume.......Ndipo Mungu akasema nitamfanyia MSAIDIZI wa kufanana naye........! Hapo ndipo alipoumbwa mwanamke!!! Sasa kama mwanamke ni msaidizi, kwa nini wanaume tunakataa wajibu wetu?? Sianzishi zogo ila kama nilivyoanza hapo juu,.......UKITAFAKARI! Mimi na mke wangu tunasaidiana kazi mbalimbali na wala sioni tatizo, maana najua nisingepewa MSAIDIZI, ningekoma kuringa!! Big Up kwa walionielewa!
 
Seriously speaking akiniomba nimuwekee dawa ya meno nitakavyo mpaka lzm akome asirudie tena maishani! Enzi za utumwa zimeisha zama nyingi sana

I definately don't make it my job or duty kumsafishia viatu...... I believe he is a grown a$$ man, vitu vilipo ndani ya uwezo wake ambavyo havimdhalilishi kijinsia afanye mwenyewe!

He is not a kid and I am not his mother!



Kwenye kitchen party zenu uwa amuambiwi kwamba Mume wako ni first born wako?
 
Si kweli kuwa mwanaume anapenda kumtumikisha mkewe hasa kama uwezo wa kifedha unaruhusu kuajiri mtumishi wa ndani. Kinachosababisha hali hiyo ni mwanamke kukosa confidence ya kuishi na mfanyakazi wa ndani. Mfano si rahisi kwa mwanaume kutoa pesa mfukoni na kumlipa mtumishi wa ndani ila kwa kawaida utampa mkewo pesa ili amlipe huyo mtumishi, lakini ni ajabu baada ya hata miezi minne unaweza kusikia mfanyakazi anataka kuondoka kwa kuwa hajalipwa mshahara ingali mwanaume kila mwezi huwa anampatia mwanamke wake pesa ya kumlipa mfanyakazi wake. Hali ni mbaya zaidi kwa wanawake wasio na kazi, Piga ua, mwanamke umpe pesa amlipe mfanyakazi hatafanya hivyo kwanza anahisi kuwa kazi wanafanya wote, chakula mfanyakazi anakula kuliko yeyey kwa nini amlipe, usheleweshaji huu wa mshahara ndio unamfanya mwanamke ajikute anafanya kazi zote yeye mwenyewe kutokana na tabia yake ya kutomjali mhudumu wa ndani
 
Huo ndio msimamo niliofunzwa kwenye kitchen party..... Kuwahe is not a child and I am not his mother:)

natakuwa nimpende na nimsaidie mume wangu lknnimefunzwa kuwa nikosa langu kumuacha kukosea na kunigeuza
mtumwa....... Dawa ya meno nimuwekee!

Ningependa anisaidie Ila sio kwa vitu Kama hivyo na wala usiwe wajibu wake......

Nnaweza kumpigia polish viatu nikipenda Ila si wajibu na nisipomuona fanya asilalamike
 
Kila mtu afanye kinachompendeza moyoni saa nyingine mwanamke unajitahidi kwa hali na mali kumfanyia vyote lakini appreciation ni zero.

Hiyo sasa itakuwa bahati mbaya kwako.... na hiyo hali kakuzwa nao... you can't teach an old dog new tricks!:A S shade:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom