mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Habari za muda huu
Leo nimeona kikosi Cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Dodoma jiji nikaona kitu kimoja kuwa hawa utopolo wamekatatamaa na hawajui nn hatima Yao na labda Kuna ugomvi ndani Yao.
Leo Bangala,Aucho na Saidoo wakuwa Benchi kweli?
Tukutane jamuhuri jitu linakufa nyingi
Leo nimeona kikosi Cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Dodoma jiji nikaona kitu kimoja kuwa hawa utopolo wamekatatamaa na hawajui nn hatima Yao na labda Kuna ugomvi ndani Yao.
Leo Bangala,Aucho na Saidoo wakuwa Benchi kweli?
Tukutane jamuhuri jitu linakufa nyingi