Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,096
- 2,698
Tayari Raila Odinga ameanza kuongea kuhusu kwenda Mahakamani.
(In fact, na majaji watakaosikiliza hiyo kesi ,ikihitajika,wametajwa)
Last time Odinga aliposhindwa na Uhuru, alikwenda Uhuru Park, Nairobi,kutangazwa serikali ya wananchi.
Nilikuwa nawasikia Radio One , Daressalaam,jana usiku wanatangaza,"Wananchi wa Kenya wanasubiri kuona jambo gani litatokea sasa baada ya Raila Odinga kupinga matokeo"
Kwa nini wanajeshi Kenya wameizingira nyumba ya Ruto kuilinda lakini hawataki watu waingie ndani kumpongeza?
Naona yupo mpiga kura Naivasha anasema,amempigia kura Raila mara nne,hatampigia kura Raila mara ya tano, hata kama Uchaguzi ukirudiwa kesho.
Anasema kwa nini Raila hataki kuiba kura kama wanavyofanya wenzake?
Kama inavyosemwa katika hali Kama hii,"Tell so-and-so,let so-and-so tell so-and-so remove Ruto from power.
TELL SO-AND-SO,LET SO-AND-SO TELL SO-AND-SO REMOVE RUTO FROM POWER.
Yule Ruto ni hustler ,mcheza kamari. Sasa hivi anacheza pata potea,ndio maoni yangu.
(In fact, na majaji watakaosikiliza hiyo kesi ,ikihitajika,wametajwa)
Last time Odinga aliposhindwa na Uhuru, alikwenda Uhuru Park, Nairobi,kutangazwa serikali ya wananchi.
Nilikuwa nawasikia Radio One , Daressalaam,jana usiku wanatangaza,"Wananchi wa Kenya wanasubiri kuona jambo gani litatokea sasa baada ya Raila Odinga kupinga matokeo"
Kwa nini wanajeshi Kenya wameizingira nyumba ya Ruto kuilinda lakini hawataki watu waingie ndani kumpongeza?
Naona yupo mpiga kura Naivasha anasema,amempigia kura Raila mara nne,hatampigia kura Raila mara ya tano, hata kama Uchaguzi ukirudiwa kesho.
Anasema kwa nini Raila hataki kuiba kura kama wanavyofanya wenzake?
Kama inavyosemwa katika hali Kama hii,"Tell so-and-so,let so-and-so tell so-and-so remove Ruto from power.
TELL SO-AND-SO,LET SO-AND-SO TELL SO-AND-SO REMOVE RUTO FROM POWER.
Yule Ruto ni hustler ,mcheza kamari. Sasa hivi anacheza pata potea,ndio maoni yangu.