Kwa Kauli ya Meya wa Ubungo, Mradi wa Manunuzi Unamhusisha Mtu Mzito.

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,803
71,229
TULIENI MNYIKA YUPO KWENYE MIKONO SALAMA

Mwambieni Babaenu aache kupiga simu Ovyo,Tumemrekodi na tutaendelea kumrekodi tumuaibishee......Any time atume sms au apige tena aone!!!!!!!!!
Mnyika siyo Dizaini ya hao unaowapigia simu na kuwahahidi Vyeo na Madaraka ya kuhongwa.....Tunakuweka loudspeaker tunakusikiliza tuh.....ukikata simu tunacheeeeeeeeeeeekaa.

Etiiii unamwambia Binadamu Mwenzako unamtaka kwa gharama yeyote.......ili nini?
(From Mayor Boniface FB page)

My take;
Sina sababu za kumdhania uongo Mayor anayeheshimika na raia wa Ubungo, lakini najiuliza huyo "babaenu" anayetajwa hapo ni nani? Na jee ndiye kinara wa biashara hii ya manunuzi?
Jee kama yeye ndiye nimdhaniaye ndiye, kumbe kakosa la kufanya mpaka afikie kuwa na matendo kama haya ambayo hayajapata kuandikwa kwa watangulizi wake?
 
Bwana Meya aache unafiki hizi ni zama za ukweli na uwazi, aziweke hewani hizo audio ili watu wamjue bwana Manunuzi.

Halafu baada ya hapo wampeleke Takukuru na takukuru wakizingua moja kwa moja mahakamani..

HUMANI TRAFFIC NI BIASHARA INAYOKUA KWA KASI SANA TANZANIA..
 
Nauona upinzani ukielekea kuzimu na wanasiasa wote bila kujali vyama wajiandae kisaikolojia na waanze kutafuta ajira mapema, hapatakuwepo tena ulaji wa kisiasa maana wanasiasa ndio wameliangamiza hili taifa, amen!
 
Chagua moja uchukue pesa uondoke huko au kataa pesa yakupate kama ya Lissu.

Hata ningekua mm ningevuta mchele!! Usiombe kifo kikufike mlangoni . Tuombe Mungu yasitufike, majaribu mengine makali sana hasa la nafsi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…