Hela yote isije ikaishia kununua wapinzani na kushindwa kuifikia Tanzania ya viwanda na kugawa 50M kwa kila kijiji na mtaa
Mlizidi kuhoji uhalali wa vyeti vya RC, ujenzi wa Chato International Airpot port, ujenzi wa Chato referral hospital.Hela yote isije ikaishia kununua wapinzani na kushindwa kuifikia Tanzania ya viwanda na kugawa 50M kwa kila kijiji na mtaa
Ni uchoyo na roho mbaya kupita zote mwenzako chaji yake 3% wewe 97%,unatoa simu yake uweke yako yenye 97%.Wivu wa namna hiyo unatoka kwa baba wa uongo .Hela yote isije ikaishia kununua wapinzani na kushindwa kuifikia Tanzania ya viwanda na kugawa 50M kwa kila kijiji na mtaa
Duh, aiseee.Nasikia pamoja na "manunuzi" pia kuna kitisho cha kuambiwa "tazama kwa Lissu".
Jee hii ni siasa?
yaaan hakuna kazi wala nn ni kuharibu rasilimali za taifa na kutishana hovyo kabisaSijawahi kuona utawala wa ajabu na hovyo kama awamu hii.
Nauona upinzani ukielekea kuzimu na wanasiasa wote bila kujali vyama wajiandae kisaikolojia na waanze kutafuta ajira mapema, hapatakuwepo tena ulaji wa kisiasa maana wanasiasa ndio wameliangamiza hili taifa, amen!TULIENI MNYIKA YUPO KWENYE MIKONO SALAMA
Mwambieni Babaenu aache kupiga simu Ovyo,Tumemrekodi na tutaendelea kumrekodi tumuaibishee......Any time atume sms au apige tena aone!!!!!!!!!
Mnyika siyo Dizaini ya hao unaowapigia simu na kuwahahidi Vyeo na Madaraka ya kuhongwa.....Tunakuweka loudspeaker tunakusikiliza tuh.....ukikata simu tunacheeeeeeeeeeeekaa.
Etiiii unamwambia Binadamu Mwenzako unamtaka kwa gharama yeyote.......ili nini?
(From Mayor Boniface FB page)
My take;
Sina sababu za kumdhania uongo Mayor anayeheshimika na raia wa Ubungo, lakini najiuliza huyo "babaenu" anayetajwa hapo ni nani? Na jee ndiye kinara wa biashara hii ya manunuzi?
Jee kama yeye ndiye nimdhaniaye ndiye, kumbe kakosa la kufanya mpaka afikie kuwa na matendo kama haya ambayo hayajapata kuandikwa kwa watangulizi wake?