Kwa Kauli ya Meya wa Ubungo, Mradi wa Manunuzi Unamhusisha Mtu Mzito.

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,702
71,013
TULIENI MNYIKA YUPO KWENYE MIKONO SALAMA

Mwambieni Babaenu aache kupiga simu Ovyo,Tumemrekodi na tutaendelea kumrekodi tumuaibishee......Any time atume sms au apige tena aone!!!!!!!!!
Mnyika siyo Dizaini ya hao unaowapigia simu na kuwahahidi Vyeo na Madaraka ya kuhongwa.....Tunakuweka loudspeaker tunakusikiliza tuh.....ukikata simu tunacheeeeeeeeeeeekaa.

Etiiii unamwambia Binadamu Mwenzako unamtaka kwa gharama yeyote.......ili nini?
(From Mayor Boniface FB page)

My take;
Sina sababu za kumdhania uongo Mayor anayeheshimika na raia wa Ubungo, lakini najiuliza huyo "babaenu" anayetajwa hapo ni nani? Na jee ndiye kinara wa biashara hii ya manunuzi?
Jee kama yeye ndiye nimdhaniaye ndiye, kumbe kakosa la kufanya mpaka afikie kuwa na matendo kama haya ambayo hayajapata kuandikwa kwa watangulizi wake?
 
Bwana Meya aache unafiki hizi ni zama za ukweli na uwazi, aziweke hewani hizo audio ili watu wamjue bwana Manunuzi.

Halafu baada ya hapo wampeleke Takukuru na takukuru wakizingua moja kwa moja mahakamani..

HUMANI TRAFFIC NI BIASHARA INAYOKUA KWA KASI SANA TANZANIA..
 
TULIENI MNYIKA YUPO KWENYE MIKONO SALAMA

Mwambieni Babaenu aache kupiga simu Ovyo,Tumemrekodi na tutaendelea kumrekodi tumuaibishee......Any time atume sms au apige tena aone!!!!!!!!!
Mnyika siyo Dizaini ya hao unaowapigia simu na kuwahahidi Vyeo na Madaraka ya kuhongwa.....Tunakuweka loudspeaker tunakusikiliza tuh.....ukikata simu tunacheeeeeeeeeeeekaa.

Etiiii unamwambia Binadamu Mwenzako unamtaka kwa gharama yeyote.......ili nini?
(From Mayor Boniface FB page)

My take;
Sina sababu za kumdhania uongo Mayor anayeheshimika na raia wa Ubungo, lakini najiuliza huyo "babaenu" anayetajwa hapo ni nani? Na jee ndiye kinara wa biashara hii ya manunuzi?
Jee kama yeye ndiye nimdhaniaye ndiye, kumbe kakosa la kufanya mpaka afikie kuwa na matendo kama haya ambayo hayajapata kuandikwa kwa watangulizi wake?
Nauona upinzani ukielekea kuzimu na wanasiasa wote bila kujali vyama wajiandae kisaikolojia na waanze kutafuta ajira mapema, hapatakuwepo tena ulaji wa kisiasa maana wanasiasa ndio wameliangamiza hili taifa, amen!
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom