Huko wanakohamia hakuna siasa? Au wanasiasa wa upande huo siyo walaji? Utakuwa na matatizo ya akili.Nauona upinzani ukielekea kuzimu na wanasiasa wote bila kujali vyama wajiandae kisaikolojia na waanze kutafuta ajira mapema, hapatakuwepo tena ulaji wa kisiasa maana wanasiasa ndio wameliangamiza hili taifa, amen!