Kwa kauli hii ya Rais Mwinyi wa Zanzibar nimeamini Wazanzibari hawatupendi Wabara tunaojipendekeza Kwao kwa kigezo cha Muungano nao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,573
108,927
"Zanzibar tunaendelea kupambania nafasi yetu huko CAF kama nchi ili nasi tuweze kushiriki AFCON na mambo si mabaya muda wowote nasi tutakuwa huko kama Wenzetu" amesema Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo alipokuwa katika Hafla Maalum ya Kuzindua Jezi za Timu ya Taifa ya Zanzibar "Zanzibar Heroes"

Chanzo: U-FM Radio kipindi chao cha Michezo cha Saa 10 Kamili Jioni hadi Saa 1 Kamili Usiku.

GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Rais wa Zanzibar na Wazanzibari wote hawapendi na wala hawakupenda kabisa kuwaona Wachezaji kama akina Ibrahim Baka, Mudathiri Yahaya na Feisal Salum 'Feitoto' wakiichezea Taifa Stars katika michuano hii ya AFCON inayoendelea sasa nchini Ivory Coast na ambayo hata hivyo Tanzania ( Taifa Stara ) imetolewa / imeyaaga Mashindano hayo katika Hatua za Awali kabisa.
 
"Zanzibar tunaendelea kupambania nafasi yetu huko CAF kama nchi ili nasi tuweze kushiriki AFCON na mambo si mabaya muda wowote nasi tutakuwa huko kama Wenzetu" amesema Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo alipokuwa katika Hafla Maalum ya Kuzindua Jezi za Timu ya Taifa ya Zanzibar "Zanzibar Heroes"

Chanzo: U-FM Radio kipindi chao cha Michezo cha Saa 10 Kamili Jioni hadi Saa 1 Kamili Usiku.

GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Rais wa Zanzibar na Wazanzibari wote hawapendi na wala hawakupenda kabisa kuwaona Wachezaji kama akina Ibrahim Baka, Mudathiri Yahaya na Feisal Salum 'Feitoto' wakiichezea Taifa Stars katika michuano hii ya AFCON inayoendelea sasa nchini Ivory Coast na ambayo hata hivyo Tanzania ( Taifa Stara ) imetolewa / imeyaaga Mashindano hayo katika Hatua za Awali kabisa.

Nashangaa wewe ndo umejua leo
 
"Zanzibar tunaendelea kupambania nafasi yetu huko CAF kama nchi ili nasi tuweze kushiriki AFCON na mambo si mabaya muda wowote nasi tutakuwa huko kama Wenzetu" amesema Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo alipokuwa katika Hafla Maalum ya Kuzindua Jezi za Timu ya Taifa ya Zanzibar "Zanzibar Heroes"

Chanzo: U-FM Radio kipindi chao cha Michezo cha Saa 10 Kamili Jioni hadi Saa 1 Kamili Usiku.

GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Rais wa Zanzibar na Wazanzibari wote hawapendi na wala hawakupenda kabisa kuwaona Wachezaji kama akina Ibrahim Baka, Mudathiri Yahaya na Feisal Salum 'Feitoto' wakiichezea Taifa Stars katika michuano hii ya AFCON inayoendelea sasa nchini Ivory Coast na ambayo hata hivyo Tanzania ( Taifa Stara ) imetolewa / imeyaaga Mashindano hayo katika Hatua za Awali kabisa.
Hata wakiwa na mtazamo huo Zanzibar haina nguvu ya kusimama yenyewe kwa kitu chochote.
Nchi ya wavivu wala urojo wanaofanya kazi kwa kuridhika wataendeleza nini kaka??
Tuone hiyo timu ya taifa ya Zanzibar itafika wapi.
 
S
"Zanzibar tunaendelea kupambania nafasi yetu huko CAF kama nchi ili nasi tuweze kushiriki AFCON na mambo si mabaya muda wowote nasi tutakuwa huko kama Wenzetu" amesema Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo alipokuwa katika Hafla Maalum ya Kuzindua Jezi za Timu ya Taifa ya Zanzibar "Zanzibar Heroes"

Chanzo: U-FM Radio kipindi chao cha Michezo cha Saa 10 Kamili Jioni hadi Saa 1 Kamili Usiku.

GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Rais wa Zanzibar na Wazanzibari wote hawapendi na wala hawakupenda kabisa kuwaona Wachezaji kama akina Ibrahim Baka, Mudathiri Yahaya na Feisal Salum 'Feitoto' wakiichezea Taifa Stars katika michuano hii ya AFCON inayoendelea sasa nchini Ivory Coast na ambayo hata hivyo Tanzania ( Taifa Stara ) imetolewa / imeyaaga Mashindano hayo katika Hatua za Awali kabisa.
Suala hili ni ajenda ya kisiasa. Haliwezekani.

Mwana wa mkuranga anawadanganya wazanzibari
 
Wakishakuwa huru watondoka huku bara au watabaki maana kila siku mnataka nchi yenu lakini mnazidi kujazana kigamboni km mnaipenda nchi yenu kwann msikae huko huko mfungue hayo maduka ya spare muone mtamuuzia nani
Tanganyika imepata uhuru toka Uingereza tangu 1961 lakini watanganyika wamejaa tele nchini humo wanatafuta rizki na taifa hilo linawachukulia kama sehemu ya watu wake ingawa siyo raia.

Ndiyo maana kuna raia wa mataifa kama Senegal, Ivory Coast, Burkina Faso, Guinea Niger, Algeria nk, wamelundikana nchini Ufaransa wanatafuta maisha kwa njia tofauti ingawa tayari inchi zao zimepewa haki ya kujitawala.

Zanzibar wamemtimua Mwarabu kwa mapinduzi, lakini wazanzibar wamejaa Oman wanachapa kazi.
 
Hivi Genta ni kweli umejua leo kwamba wazanzibar hawatupendi na hawautaki huu muungano? Kwa kifupi anaeng'ang'ania huu muungano ni Tanganyika ila upande wa pili hawataki hata kuusikia.
 
Hata Britain Wana timu tatu FIFA.. England,Wales na Scotland....ni faida tukiweza kuwa na timu mbili
 
Back
Top Bottom