RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,752
- 193
Wadau inasemekana Kikwete alitoa kauli hii kama sehemu ya hotuba yake kwa bunge:
"Hata hao ambao hawakuichagua CCM, serikali yao ni hii hii ambaye rais wao ni mimi... hata hao waliosusia, watakwenda; watarudi,"
Ukiangalia ni kauli iliyojaa vitisho kwa ambao hawakuchagua CCM na kwa wabunge wa CHADEMA. Anaonyesha ni jinsi alivyo mroho wa madaraka na kuonyesha kuwa yuko proud sasa kuwa yeye ni Rais na watu watake wasitake watamtii tu. Je hizi kauli si huwa zinatolewa na madikteta? Iko wapi kauli ya kuwa 'ushindi' wake ni ushindi wa wote??? Je huu ni mwanzo tu wa kuona true colors za huyu bwana?
"Hata hao ambao hawakuichagua CCM, serikali yao ni hii hii ambaye rais wao ni mimi... hata hao waliosusia, watakwenda; watarudi,"
Ukiangalia ni kauli iliyojaa vitisho kwa ambao hawakuchagua CCM na kwa wabunge wa CHADEMA. Anaonyesha ni jinsi alivyo mroho wa madaraka na kuonyesha kuwa yuko proud sasa kuwa yeye ni Rais na watu watake wasitake watamtii tu. Je hizi kauli si huwa zinatolewa na madikteta? Iko wapi kauli ya kuwa 'ushindi' wake ni ushindi wa wote??? Je huu ni mwanzo tu wa kuona true colors za huyu bwana?