LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
mkuu L.justice1 kabla hujamlaumu JK ni Dikteta , naomba unipe definition ya Dikteta ...
Yeye (JK) amedai ni "mvumilivu" kwa watu wenye mawazo tofauti lakini tunashuhudia waandamanaji wakiuawa na wengine kutiwa mbaroni! Watu siku hizi wameshazoea mioshi ya mabomu ya machozi na hawaogopi tena! Wewe kwa akili yako unafikiri hiyo ndio "demokrasia" anayoidai JK?