aliyetegwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 312
- 477
Nitabaki kuwa mpinzani hadi mwisho hata km Tanzania itakuwa km South Africa,
mi ni pamoja nawe mkuu.
Nitabaki kuwa mpinzani hadi mwisho hata km Tanzania itakuwa km South Africa,
Sie hatutaki upinzani imara wala chama tawala imara tunataka Tanzania imara
Sasa unakomenti katika takataka basi wewe ndo takataka!kaa kimya kama huna mchango!Ukiwa huna cha kupost kaa kimya. hii ni takataka.
Wale vijana hawashabikii ccm bali mtu mmoja yaani ni Magufuli na Majaliwa. Mbona mbeya wamefanya usafi na wala hawakushangilia hizo taka zako.
ILANI YA CCM KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015 UMOJA NI USHINDI
12. Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, CCM itazielekeza Serikali zake kuendeleza mapambano dhidi ya adui rushwa kwa nguvu zake zote na kuendelea kuziba mianya ya rushwa katika taasisi za umma; kuchukua hatua kali na za haraka kwa wale wote watakaobainika kuendeleza rushwa Serikalini na katika sekta binafsi; na kuimarisha vyombo na taasisi zinazohusika na kuzuia na kupambana na rushwa; ikiwa ni pamoja na kuanzisha Mahakama Maalumu kwa ajili ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
13. Sambamba na kupambana na tatizo la rushwa, Serikali pia zitatakiwa kushughulikia kwa ukali zaidi tatizo la ubadhirifu na wizi wa mali ya umma, matumizi mabaya ya madaraka, ukiukwaji wa maadili ya uongozi na utumishi wa umma, kuchelewesha kutoa maamuzi yenye maslahi kwa umma na kusimamia uwajibikaji katika kutekeleza masuala yenye maslahi kwa umma.
Kwa kasi hii ya Rais JPM inaweza ikaharibu upinzani katika hii nchi ni leo baada ya kushuhudia leo vijana kariakoo wakiwa wamepagawa!na Waziri mkuu,pia nilipokuwa Ferry vijana uvumilivu uliwashinda nakusema mafisadi watafute pakwenda!Na ujanja alioutumia JPM nikufanya yale wapinzani wamekuwa wakiyasema siku zote!Hivyo kuwa M4C kunaanza kudhoofisha upinzani hivyo kunatakiwa kuwepo na mbinu mbadala ya kushindana na hii kasi ya JPM. Leo wale vijana wa Kariakoo ni wale waliokuwa wakizomea mtu yeyote anayevaa nguo za CCM. Leo ndo wamekuwa washabiki wa CCM!
Kwa haya mawili ya ILANI ya CCM wapinzani wafunge midomo ati Rais Magufuli anatekeleza ya upinzani. Kila Mtanzania awajibike ipasavyo mahala pake pa kazi kabla TINGATINGA alijampitia.
WATAISOMA NAMBA WAZEMBE NA MAFISADI
Nilifikiri nitakuta nukuu ya Mbowe!
Naona zile mbegu za mmeo zimeacha kukuumiza umekuja kivingine toa poroja zako shughulika na mmeo tu siasa huziweziKasi ya utendaji kazi wa rais wetu mpendwa imemduwa bwana Mbowe na kukubaliana kuwa upinzani haupo tena.
CCM shika hatamu turudishe heshima yetu iliyopotezwa na Mzee wa misafali.
Big up Magufuli aka burudoza.