Kwa kadiri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona Sherehe za Muungano zikipigiwa debe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,237
Kwa siku 4 au 5 hivi ninaona tangazo la biashara la kuhamasisha wananchi kuhudhuria sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zitakazofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma , bado sijajua kama walengwa ni watanzania wote ama wakazi wa Dodoma tu .

Naomba kuthibitisha kwamba sijawahi kuona Sherehe hizi zikipigiwa debe mithili ya nguo za mitumba kwenye lile soko la Mbagala kabla halijaungua , Mara zote sherehe hizi hufahamika kwa wananchi na kinachofanyika ni kuzitangaza kwenye Taarifa za Habari za vyombo mbalimbali vya habari na baadaye wananchi hujongea kwa wingi mahali zinapofanyika

Mwaka huu kulikoni zipigiwe debe ?
 
Kwa siku 4 au 5 hivi ninaona tangazo la biashara la kuhamasisha wananchi kuhudhuria sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zitakazofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma , bado sijajua kama walengwa ni watanzania wote ama wakazi wa Dodoma tu .

Naomba kuthibitisha kwamba sijawahi kuona Sherehe hizi zikipigiwa debe mithili ya nguo za mitumba kwenye lile soko la Mbagala kabla halijaungua , Mara zote sherehe hizi hufahamika kwa wananchi na kinachofanyika ni kuzitangaza kwenye Taarifa za Habari za vyombo mbalimbali vya habari na baadaye wananchi hujongea kwa wingi mahali zinapofanyika

Mwaka huu kulikoni zipigiwe debe ?
Tuko tunaendelea na ziara ya maajabu
 
Baada ya ile ya kumpa Dada wa marekani kutafuna fedha za ruzuku ili ahamasishe maandamano kubuma,sasa mmekuja kivingine....JIWE mwaka huu kawashika pabaya!
 
Kwa siku 4 au 5 hivi ninaona tangazo la biashara la kuhamasisha wananchi kuhudhuria sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zitakazofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma , bado sijajua kama walengwa ni watanzania wote ama wakazi wa Dodoma tu .

Naomba kuthibitisha kwamba sijawahi kuona Sherehe hizi zikipigiwa debe mithili ya nguo za mitumba kwenye lile soko la Mbagala kabla halijaungua , Mara zote sherehe hizi hufahamika kwa wananchi na kinachofanyika ni kuzitangaza kwenye Taarifa za Habari za vyombo mbalimbali vya habari na baadaye wananchi hujongea kwa wingi mahali zinapofanyika

Mwaka huu kulikoni zipigiwe debe ?
Ww una umri wa miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom