Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,865
Leo 9 Disemba ni siku ya kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika , Siyo kumbukumbu ya Uhuru wa Tanzania wala Tanzania Bara , kwahiyo upotoshaji wowote kuhusu sherehe hizi tutaupinga kwa nguvu zote bila kujali cheo cha mpotoshaji wala ukubwa wake
Mara kadhaa tumeshuhudia kuzimwa kwa sherehe za Uhuru wa Tanganyika kwa kisingizio cha ETI PESA ZA SHEREHE HIZO ZIELEKEZWE KWENYE HUDUMA ZA JAMII , Hivi huduma za jamii kama ujenzi wa mabweni na mengineyo hazitengewi bajeti ? kwanini hela za sherehe za Uhuru zipelekwe huko , nani kawatuma kufanya haya , kwanini ?
Kinachosikitisha ni kwambs , Wakati Watanganyika wananyimwa Sherehe za Uhuru wao , Wazanzibar ambao nchi yao haikumezwa na jina Tanzania wangali wanaendelea kusherehekea SIKU YA MAPINDUZI MATUKUFU kwa mbwembwe , hivi hawa mbona wao hawazuii sherehe kwa kisingizio cha kujenga mabweni , au watoto wao hawasomi ?
Sasa tunaanza kuona dhahiri nia ovu ya kuifukia Tanganyika na kuiinua Zanzibar , Nachukua nafasi hii kutangaza jambo hili kuwa miongoni mwa KERO MPYA ZA MUUNGANO , na jambo hili litatuliwe haraka .
Ni Utumwa na ni Aibu kubwa kwa nchi yoyote ile kupuuza Sherehe za Uhuru wake yenyewe kwa Visingizio vyovyote vile .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Mara kadhaa tumeshuhudia kuzimwa kwa sherehe za Uhuru wa Tanganyika kwa kisingizio cha ETI PESA ZA SHEREHE HIZO ZIELEKEZWE KWENYE HUDUMA ZA JAMII , Hivi huduma za jamii kama ujenzi wa mabweni na mengineyo hazitengewi bajeti ? kwanini hela za sherehe za Uhuru zipelekwe huko , nani kawatuma kufanya haya , kwanini ?
Kinachosikitisha ni kwambs , Wakati Watanganyika wananyimwa Sherehe za Uhuru wao , Wazanzibar ambao nchi yao haikumezwa na jina Tanzania wangali wanaendelea kusherehekea SIKU YA MAPINDUZI MATUKUFU kwa mbwembwe , hivi hawa mbona wao hawazuii sherehe kwa kisingizio cha kujenga mabweni , au watoto wao hawasomi ?
Sasa tunaanza kuona dhahiri nia ovu ya kuifukia Tanganyika na kuiinua Zanzibar , Nachukua nafasi hii kutangaza jambo hili kuwa miongoni mwa KERO MPYA ZA MUUNGANO , na jambo hili litatuliwe haraka .
Ni Utumwa na ni Aibu kubwa kwa nchi yoyote ile kupuuza Sherehe za Uhuru wake yenyewe kwa Visingizio vyovyote vile .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO