Kwa jinsi mwendokasi unavyojengwa na flyover tutashuhudia mengi

G-Funk

JF-Expert Member
Feb 10, 2022
2,403
5,530
Ukiangalia tu kwa karibu jinsi ambavyo mwendokasi unajengwa na madaraja ya flover
yajayo ikiwamo la kurasini na Vetah pale.

Utagundua aidha mkandarasi amepewa standards za chini tofauti na aliyejenga phase ya kwanza ya Kimara Mwisho hadi posta pamoja na Morroco. Barabara zimeunganishwa na kutenganishwa na mistari badala ya blocks kwa maana kila gari ipite upande wake.

Kutenganisha kuna maana kubwa sana kwa sababu ile huepusha head to head collision, na hatujawahi kusikia ajali ya mwendokasi zimegongana uso kwa uso licha ya kuwa madereva wake wako rough sana ila huishia kugonga boda boda tu ambao wengi hujifyatua akili na kupita bila tahadhari.

Ukija kwenye flyover njia za daraja lenyewe ni finyu gari mbili kuongozana na kuweza overtake juu ya daraja sidhani kama itakuwa raisi ila kijazi na tazara hata scania mbili zinaweza kuongozana zikapanda juu na kupishana. Lami iliowekwa sio laini yani kokoto zimesimama wima. Inshort kuna mambo kadhaa hayako sawa.

Tutegemee ajali za uso kwa uso za magari katika njia hio ya mwendokasi,, tutarajie kusikia kuna mashimo kwenye lami juu ya daraja la flyover na mtu kapigwa pasi. Alamsiki. Tusije tukamtafuta mchawi tu maana anajulikana.
 
Ukiangalia tu kwa karibu jinsi ambavyo mwendokasi unajengwa na madaraja ya flover
yajayo ikiwamo la kurasini na Vetah pale.

Utagundua aidha mkandarasi amepewa standards za chini tofauti na aliyejenga phase ya kwanza ya Kimara Mwisho hadi posta pamoja na Morroco. Barabara zimeunganishwa na kutenganishwa na mistari badala ya blocks kwa maana kila gari ipite upande wake.

Kutenganisha kuna maana kubwa sana kwa sababu ile huepusha head to head collision, na hatujawahi kusikia ajali ya mwendokasi zimegongana uso kwa uso licha ya kuwa madereva wake wako rough sana ila huishia kugonga boda boda tu ambao wengi hujifyatua akili na kupita bila tahadhari.

Ukija kwenye flyover njia za daraja lenyewe ni finyu gari mbili kuongozana na kuweza overtake juu ya daraja sidhani kama itakuwa raisi ila kijazi na tazara hata scania mbili zinaweza kuongozana zikapanda juu na kupishana. Lami iliowekwa sio laini yani kokoto zimesimama wima. Inshort kuna mambo kadhaa hayako sawa.

Tutegemee ajali za uso kwa uso za magari katika njia hio ya mwendokasi,, tutarajie kusikia kuna mashimo kwenye lami juu ya daraja la flyover na mtu kapigwa pasi. Alamsiki. Tusije tukamtafuta mchawi tu maana anajulikana.
Mkandarasi anakula kulingana na urefu wa kamba yake!
 
Maneno matupu bila picha?
1662207163612.jpeg
 
oneni wenzenu wanavyojenga madaraja ya kileo huko Afrika Kusini wala si mabali, si wangelikwenda kuomba usaidizi wa kandarasi na michoro.
South kote huko? Nenda Uganda tuu hapo..

Hii ndio flyover yao inayojengwa 👇
 

Attachments

  • 20220328_182057.png
    20220328_182057.png
    179.6 KB · Views: 10
  • 20220328_182055.jpg
    20220328_182055.jpg
    43.7 KB · Views: 9
  • 20220328_182046.jpg
    20220328_182046.jpg
    7.9 KB · Views: 9
  • 20220328_182049.jpg
    20220328_182049.jpg
    85.4 KB · Views: 9
Kwa Dereva, kama barabara ina msitari unaotenganisha barabara mnagonganaje. ikitokea zile tofari za kutenganisha hazizuii gari kuruka upande wa pili, labda mwendo uwe wa Speed 20. Labda kuwe na tuta lenye upana kama barabara ya mandela angalau.
 
Ahsante kwa andiko.Hata mimi nimeona kama wewe.flyover zote zinazojengwa waamezibana sana tofauti na zile za zamani kama ubungo na tazara.Hakuna hata kiongozi aliyejitokeza kuhoji hilo,wanachojua ni kusifu tu
 
Mbona hata Kimara-Posta kuna sehemu barabara zimetenganishwa kwa mstari, sio sehemu zote zina blocks.
Upana unaona ni sawa na ule wa kule keko au bandari hadi uhasibu?
 
Back
Top Bottom