mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,306
- 6,514
Mkuu nakumbuka Lissu alimsomea vifungu vya kumshawishi spika katika kutoa ule muongozo wa shanga.....KUBENEA zile makala, mwandishi sio yeye, yeye anaweka jina Lake TU.. Mda mrefu nilimgundua tokea 2008, yeye Ana ujasiri wa kuandika jina, na wanaoandika hawana ujasiri wa kuweka jina, ukitaka kuona wepesi wa Kubenea, mpe nafasi ya kuzungumza..
Kitabu cha kanuni alikuwa nacho, lakini alishindwa kusoma....
Nlicheka sana