Kwa jinsi Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea anavyokurupuka Bungeni, ndivyo anavyofanya Mwanahalisi

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau amani iwe kwenu.

Kama kuna wabunge ambao wanapata shida sana wanapochangia bungeni basi bila shaka kwenye orodha hiyo hakosekani Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea. Kabla hajawa mbunge, Watanzania wengi na hasa wafuasi wa CHADEMA waliaminishwa kuwa Kubenea ni mtu makini na amekuwa akiandika kwenye gazeti lake la Mwanahalisi taarifa za kiuchunguzi ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Naamini pia ni kutokana na kuaminishwa huko, ndio maana wananchi wa Ubungo wakampa kura nyingi ili awe mbunge wao.

Muda mfupi tu baada ya kuchaguliwa kwake, hakika sura halisi ya Kubenea inaanza kuonekana. Kubenea kwa sasa anaonekana ni mwanasiasa mkurupukaji na asiye na uwezo wa kupangilia hoja anapoongea. Miongoni mwa mambo ambayo hakika yamemuumbua sana Kubenea ni lile sakata la wabunge kuvuliwa shanga na chupi. Hakika tukio hilo lilimwachia Kubenea aibu kubwa sana kwani alishambulwa mpaka wabunge wa UKAWA.

Tukio jingine ni hili la juzi ambaye alisema kuwa JWTZ ilitoa ardhi kwa kampuni ya Hennang Guiging Industry Investment kwa ajili ya kufanya ujenzi wa nyumba kwa miaka 40. Waziri wa Ulinzi amekanusha madai hayo na ndipo Naibu Spika Tulia Akson alipotoa siku nne kwa Kubenea kuthibitisha madai yake vinginevyo atachukuliwa hatua kali za kisheria. Siku alizopewa zinaisha Jumanne na endapo atashindwa kuthibitisha hakika si tu kuwa atakabiliwa na adhabu kali bali pia atakuwa ameendeleza kujidhalilisha.


saed%2Bkubenea.JPG


Wadau, kwa sisi tunaomwelewa Kubenea, hatushangazwi hata kidogo na haya yanayomkuta Bungeni. Siku zote amekuwa mkurupukaji na mpika majungu na amekuwa akitumia vyombo vyake vya Mwanahalisi na Mwanahalisi Online kutekeleza azma yake.
 
ha ha jiji linanuka kila mahala umepachikwa na kupewa jiji kichwa maji huna uubunifu hata mmoja Zaidi ya kuuza sura kwenye vyombo vya habari wewe na aliyekupa madaraka mumekwama mumeshindwa mumelegea munachukiwa na wananchi kwa asilimia kubwa hamna fikra ya kukwamua nchi hii kuondokana na lindi la umasikini munajilimbikizia na kugawa wananchi kikundi chenu mukila raha wananchi wakulima wafanyakazi wakiteseka mno munakurupuka kwa kila jambo umechoka kusaka sukari za akina Dewji baada ya kukushua unahangaika na kubenea lala toto lala endelea kula hela ya kodi za wananchi maana umepachikwa ufanye propaganda Dar umeshindwa shika ufagio kafagie vituo vya Dart vinanuka
 
Wana Ubungo watapata hasara sana katika miaka hii mitano. Wanamkumbuka sana John Mnyika
Kama Dar inavyoongonzwa na mfanya maigizo pedeshee la kuchonga sura za kujipendekeza atakaposituka aliyekuteu kujuwa kazi yako ni mitandao itakuwa too late haya umegawiwa machinga vizimba machinga complex au unaimba nyimbo za kubenea
 
Wadau amani iwe kwenu.

Kama kuna wabunge ambao wanapata shida sana wanapochangia bungeni basi bila shaka kwenye orodha hiyo hakosekani Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea. Kabla hajawa mbunge, Watanzania wengi na hasa wafuasi wa CHADEMA waliaminishwa kuwa Kubenea ni mtu makini na amekuwa akiandika kwenye gazeti lake la Mwanahalisi taarifa za kiuchunguzi ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Naamini pia ni kutokana na kuaminishwa huko, ndio maana wananchi wa Ubungo wakampa kura nyingi ili awe mbunge wao.

Muda mfupi tu baada ya kuchaguliwa kwake, hakika sura halisi ya Kubenea inaanza kuonekana. Kubenea kwa sasa anaonekana ni mwanasiasa mkurupukaji na asiye na uwezo wa kupangilia hoja anapoongea. Miongoni mwa mambo ambayo hakika yamemuumbua sana Kubenea ni lile sakata la wabunge kuvuliwa shanga na chupi. Hakika tukio hilo lilimwachia Kubenea aibu kubwa sana kwani alishambulwa mpaka wabunge wa UKAWA.

Tukio jingine ni hili la juzi ambaye alisema kuwa JWTZ ilitoa ardhi kwa kampuni ya Hennang Guiging Industry Investment kwa ajili ya kufanya ujenzi wa nyumba kwa miaka 40. Waziri wa Ulinzi amekanusha madai hayo na ndipo Naibu Spika Tulia Akson alipotoa siku nne kwa Kubenea kuthibitisha madai yake vinginevyo atachukuliwa hatua kali za kisheria. Siku alizopewa zinaisha Jumanne na endapo atashindwa kuthibitisha hakika si tu kuwa atakabiliwa na adhabu kali bali pia atakuwa ameendeleza kujidhalilisha.

Wadau, kwa sisi tunaomwelewa Kubenea, hatushangazwi hata kidogo na haya yanayomkuta Bungeni. Siku zote amekuwa mkurupukaji na mpika majungu na amekuwa akitumia vyombo vyake vya Mwanahalisi na Mwanahalisi Online kutekeleza azma yake.
Hakuna ulichoandika zaidi ya Pumba tu, hujiulizi ni kwanini wananchi walimwacha Masaburi wakachagua yeye? Huo ushahidi unausema muda wake ushafika?
Hakuna mbunge makini kwa Ubungo pale kama Kubenea baada ya Mnyika.
 
Mkuu najua ukweli siku zote unauma sasa ngoja waje chadomo uone povu linavyowatoka kunakotukuka.
 
Sasa wewe, Kubenea kaambiwa alete ushahidi lakini unaamini maneno ya waziri kuwa hakuna kitu kama hicho sii usubiri alete majibu? Hivi hawa mawaziri ni wa kuamini? Mbona hata Mbawalaungemwambia mashine za ukaguzi pale Airport hazifanyi kazi sii angebisha .net bado anapita pale kila siku?
Subiri uone ushahidi usiwe na mzuka
 
ha ha jiji linanuka kila mahala umepachikwa na kupewa jiji kichwa maji huna uubunifu hata mmoja Zaidi ya kuuza sura kwenye vyombo vya habari wewe na aliyekupa madaraka mumekwama mumeshindwa mumelegea munachukiwa na wananchi kwa asilimia kubwa hamna fikra ya kukwamua nchi hii kuondokana na lindi la umasikini munajilimbikizia na kugawa wananchi kikundi chenu mukila raha wananchi wakulima wafanyakazi wakiteseka mno munakurupuka kwa kila jambo umechoka kusaka sukari za akina Dewji baada ya kukushua unahangaika na kubenea lala toto lala endelea kula hela ya kodi za wananchi maana umepachikwa ufanye propaganda Dar umeshindwa shika ufagio kafagie vituo vya Dart vinanuka
Mkuu, hivi unamjua nani anaongoza Jiji la Dar es Salaam? Sasa mbona hapa unajipiga magonzi mwenyewe?
 
Sasa wewe, Kubenea kaambiwa alete ushahidi lakini unaamini maneno ya waziri kuwa hakuna kitu kama hicho sii usubiri alete majibu? Hivi hawa mawaziri ni wa kuamini? Mbona hata Mbawalaungemwambia mashine za ukaguzi pale Airport hazifanyi kazi sii angebisha .net bado anapita pale kila siku?
Subiri uone ushahidi usiwe na mzuka
Mkuu, vipi ule ushahidi wa wabunge kuvuliwa chupi na shanga aliwasilisha?
 
Kubenea alizoea kupasiwa habari na baadhi ya watendaji na ndomana alishawahi kumskama lowasa Rostom Zito na baadae kujirudi kuwaabudu. Hivo habari za kupewa alidhani na huko bungeni ningemfaa bila yeye kuzifanyia utafiti yote hayo ni Elim yake ndogo mbunge asiye na CV pekee uantegemea nini hasa atakachofanya?
 
Hakuna ulichoandika zaidi ya Pumba tu, hujiulizi ni kwanini wananchi walimwacha Masaburi wakachagua yeye? Huo ushahidi unausema muda wake ushafika?
Hakuna mbunge makini kwa Ubungo pale kama Kubenea baada ya Mnyika.
Mbunge makini wa kuongelea shanga?
 
Mleta mada naona ndio mkurupukaji maana jumanne haijafika wewe unatoa hukumu,hebu leta mada za kueleweka
 
Wana Ubungo watapata hasara sana katika miaka hii mitano. Wanamkumbuka sana John Mnyika
Bora hasara ya jimbo kuliko hii tunayoipata maana mateso mtindo mmoja, mara sukari, mara nauli mara mizuka
 
Mleta mada naona ndio mkurupukaji maana jumanne haijafika wewe unatoa hukumu,hebu leta mada za kueleweka
Mkuu, siku zote msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Jumanne haiko mbali na ndipo tutakaposhuhudia aibu ya Kubenea
 
Back
Top Bottom