GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Members, Maisha ya Watanzania wengi ni "Hand to Mouth" yaani wanafanya kazi pesa yote inaishia kwenye kula chakula, Watanzania wengi hawana ajira rasmi na ujuzi (unskilled labor) na hawana akiba ya ziada kwa ajili ya dharula(emergency).
Maneno hayo ya kiingereza ndio nguzo ya watu wengi kuhitaji muda wake uongezwe wa kutawala, Maneno hayo ni HAND TO MOUTH, UNSKILLED LABOR na EMERGENCY.
Tishio au hofu yeyote ya kuwafungia Watanzania ndani kisa corona ingetengeneza maisha magumu na njaa kali sana mitaani.
Mwanzoni niliamini katika kufungia watu ndani na hii ilitokana na dhana potofu ya kusoma na kutumia miongozo ya nchi za Ulaya ambazo kufungia watu ndani kumeshindwa vibaya na korona inaendelea kwa kasi.
Ninaunga mkono mabadiliko au hati ya dharula Bungeni kubadilisha kipengele cha katiba kumuwezesha Rais Magufuli aongezewe miaka saba baada ya mwaka 2025.Na hii ni kama shukrani kwa watanzania kuachwa huru waendelee na kazi zao wakati wa mlipuko wa corona.
Ni muhimu Bungeni ipigwe kura ya wazi ya ndio au hapana wakati wa mabadiliko ya kipengele cha muda wa Urais.
Yote haya tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi, Na hii kura ya kubadili kipengele cha katiba itawaacha wanafiki midomo wazi kwani wabunge tuliowachagua wana imani na Rais Magufuli hakika hii itakuwa landslide Victory au SHiKwaMbi ( Shinda kwa Mbinu) iwe mvua au jua.
Maneno hayo ya kiingereza ndio nguzo ya watu wengi kuhitaji muda wake uongezwe wa kutawala, Maneno hayo ni HAND TO MOUTH, UNSKILLED LABOR na EMERGENCY.
Tishio au hofu yeyote ya kuwafungia Watanzania ndani kisa corona ingetengeneza maisha magumu na njaa kali sana mitaani.
Mwanzoni niliamini katika kufungia watu ndani na hii ilitokana na dhana potofu ya kusoma na kutumia miongozo ya nchi za Ulaya ambazo kufungia watu ndani kumeshindwa vibaya na korona inaendelea kwa kasi.
Ninaunga mkono mabadiliko au hati ya dharula Bungeni kubadilisha kipengele cha katiba kumuwezesha Rais Magufuli aongezewe miaka saba baada ya mwaka 2025.Na hii ni kama shukrani kwa watanzania kuachwa huru waendelee na kazi zao wakati wa mlipuko wa corona.
Ni muhimu Bungeni ipigwe kura ya wazi ya ndio au hapana wakati wa mabadiliko ya kipengele cha muda wa Urais.
Yote haya tutashinda kwa mbinu za kisasa na zilizoboreshwa zaidi, Na hii kura ya kubadili kipengele cha katiba itawaacha wanafiki midomo wazi kwani wabunge tuliowachagua wana imani na Rais Magufuli hakika hii itakuwa landslide Victory au SHiKwaMbi ( Shinda kwa Mbinu) iwe mvua au jua.