JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,360
- 9,615
Mkuu Siro,
Kama wasaidizi wako hawakuelezi vizuri basi kaa ukijua kwamba Dar kuna vibaka wengi sana; wapo kama Panya Road, wengine wanavalia kama wanafunzi ili wasitiliwe wasiwasi.
Mitaa ambayo imekithiri kwa vibaka wa aina hii ni Mbezi Juu, Ubungo, Manzese, Buguruni, Mabibo, Makuburi na Sinza. Mitaa ya Goba na Musumi pia wamo.
Vibaka hawa wanafanya kazi zao kama ifuayavyo;
1. Wanaingia ndani ya majumba ya watu wakiwa wamelela na kuiba vitu kama vile computer, TV (flat), hela, simu n.k.
2. Wanavalia kiwanafunzi alafu wakikutana na mtu wananyang'anya vitu kama mikoba, hela, begi, simu n.k
Chonde chonde, chukua hatua!
Kama wasaidizi wako hawakuelezi vizuri basi kaa ukijua kwamba Dar kuna vibaka wengi sana; wapo kama Panya Road, wengine wanavalia kama wanafunzi ili wasitiliwe wasiwasi.
Mitaa ambayo imekithiri kwa vibaka wa aina hii ni Mbezi Juu, Ubungo, Manzese, Buguruni, Mabibo, Makuburi na Sinza. Mitaa ya Goba na Musumi pia wamo.
Vibaka hawa wanafanya kazi zao kama ifuayavyo;
1. Wanaingia ndani ya majumba ya watu wakiwa wamelela na kuiba vitu kama vile computer, TV (flat), hela, simu n.k.
2. Wanavalia kiwanafunzi alafu wakikutana na mtu wananyang'anya vitu kama mikoba, hela, begi, simu n.k
Chonde chonde, chukua hatua!