Ukawa si lolote wala si chochote. Mlikuwa mnajidai kuikataa katiba ya Chenge na 6 wakati nyie ndio wa kwanza kuvunja katiba za vyama vyenu kwa kuingiza mafisadi walioshindikana CCM.
Haina maana tena ya kudai katiba mpya ya wananchi kwani hata katiba za vyama vyenu zimewashinda.
Anguko la wapinzani safari hii ni kubwa kuliko kipindi kile ambapo kila chama kilisimama kivyake katika uchaguzi mkuu. Pole sana Mbowe na wenzako kwa kukurupuka.
Mmejitahidi kujenga vyamavyenu kwa zaidi ya miaka 20 lakini mmevibomoa ndani ya wiki 1 tu iliyopita. Lakini hongereni pia kwa kutupunguzia mzigo wa kupanga foleni kwa ajili ya kuwapigia kura siku ya uchaguzi.
Haina maana tena ya kudai katiba mpya ya wananchi kwani hata katiba za vyama vyenu zimewashinda.
Anguko la wapinzani safari hii ni kubwa kuliko kipindi kile ambapo kila chama kilisimama kivyake katika uchaguzi mkuu. Pole sana Mbowe na wenzako kwa kukurupuka.
Mmejitahidi kujenga vyamavyenu kwa zaidi ya miaka 20 lakini mmevibomoa ndani ya wiki 1 tu iliyopita. Lakini hongereni pia kwa kutupunguzia mzigo wa kupanga foleni kwa ajili ya kuwapigia kura siku ya uchaguzi.