Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,106
- 136,784
Mambo yote aliyozungumza leo yamejibu maswali mengi sana.
Sasa, kama yeye ndiye aliyetoa maagizo aliyoyatoa na kama anasema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi.
Sababu ya kuunda tume ya uchunguzi ya yaliyotokea ni ipi sasa?
Samia has an IQ of an amoeba š¦ .
Sasa, kama yeye ndiye aliyetoa maagizo aliyoyatoa na kama anasema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi.
Sababu ya kuunda tume ya uchunguzi ya yaliyotokea ni ipi sasa?
Samia has an IQ of an amoeba š¦ .