Kwa hotuba ya leo, kwanini aliunda tume?

Kwa hotuba ya leo, kwanini aliunda tume?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,106
Reaction score
136,784
Mambo yote aliyozungumza leo yamejibu maswali mengi sana.

Sasa, kama yeye ndiye aliyetoa maagizo aliyoyatoa na kama anasema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi.

Sababu ya kuunda tume ya uchunguzi ya yaliyotokea ni ipi sasa?

Samia has an IQ of an amoeba 🦠.
 
Watu wako mbele ya muda, watu walikuwa sahihi kupinga ile tume, Sote tunaona haijachukua muda mambo yote hadharani.

CCM ni matapeli, wakishafanya tukio lao wanaanza kufanya manipulations…. Manipulations zikigoma kufanya kazi ndio wanakuja kwa rangi zao halisi kama leo...

Tulikuwa sahihi kutokununua uongo wake na ile huruma yake fake ya kusimamisha wabunge kuwaombea waliouawa. Popote alipojifanya kuongea kiupole kabla ya leo alikuwa yuko kwenye misheni ile ile yakuwafanya watu wajinga.

Manipulation zimegoma, ameingia stage ya Crisis, this is her crisis na CCM yake.

Ni ngumu kuongoza kizazi cha sasa bila ukweli, haki na uwajibikaji, ā€œatatawalaā€ kwa mabavu sana ni heri tujiandae.
 
Ni schematics tu ili kutuliza kelele,kwa sasa ni mwendo wa mateka tu mikono juu,hakuna uhuru wa habari, demokrasia wala ungese gani sijui

K
Aanze kwa kufuta NGOs zote, afute CHADEMA, afute muda huu na Kanisa Katoliki TUONE.

Atoe TANGAZO muda huu.

Afukuze na Balozi wa EU.

Achukue hatua, amalizie mambo.

Ameshatoa UHAI wa wengi, amebakiza kitu kidogo tu.
 
Kuna sehemu amesema waandamanaji walikuwa na lengo la kuidondosha dola.

Sasa mimi hapo ndio ananichaganya, ni dola gani hiyo anayoizungumzia wakati tarehe 29 hakukuwa na raisi wa kuongoza hiyo dola kwasababu ilikuwa ni siku ya kumtafuta huyo raisi kupitia kura.
 
Lengo anataka Wapinzani wabebeshwe mzigo wa kuchochea maandamano kwa No Reform No Election
Chadema itatangazwa kama kundi la kigaidi hivyo mali zake zote kutaifishwa na kufutwa
Viongozi wa chadema watauawa hadharani na majibu yatatolewa wananchi wenye hasira kali ndo wamefanya mauaji hayo.
NGO zote zitafungwa
 
Mambo yote aliyozungumza leo yamejibu maswali mengi sana.

Sasa, kama yeye ndiye aliyetoa maagizo aliyoyatoa na kama anasema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi.

Sababu ya kuunda tume ya uchunguzi ya yaliyotokea ni ipi sasa?

Ili tuwapate wachochezi wote waliojificha wakiwemo na TEC

Na wakipata hao TEC watatueleza vyema kwanini hawataki kuoa wanakesha kupiga punyeto
 
Back
Top Bottom