Wivu tuuu unawasumbua mwaacheni mama yetu!!
BARAZA LA MAWAZIRI
(serikali ya JK)
1. Wassira
2. Merry Nagu
3.
GWANKAJA GWAKILINGO 20:40 Yesterday
By Ngoiva:
BARAZA LA MAWAZIRI
(serikali ya JK)
1. Wassira
2. Merry Nagu
3.
Ngereja
4.malima
5.rukuvi
6.nyarandu(mh yara wanipiga na leso waniumiza)
7.membe
Huyu mama ni mbuge wa jibo langu la hanang' lkn ananikera kwa kauli zake kama hizo, sijui kwann kapewa uwaziri, KWA MBUNGE WA AINA HII WANAHANANG' TUANGALIE UPE.Wivu tuuu unawasumbua mwaacheni mama yetu!!
Ni ukweli usiyo fichika sasa CCM kazi kwisha, kama ata watendaji wa Serekali wanaongea wazi kwamba watakwamisha miradi ya maendeleo kama wapinzani wakichukua jimbo, ujue wamekosa sera za kuzungumza na wameamua liwalo liwe, but wajue kwamba wanatangaza vita ambayo ikianza wenyewe watakua wakwanza ku exit.
Uyu mama ajue nae tutaanza kumshushia mvua ya kashfa zake, Pls Mama Nagu tunakweshimu sana naomba tafadhali ukae kimya usije umbuka apa.
Siamini kua katamka hivo wazi kabisa kweny TV... Labda kama ana Kichaa....
Wivu tuuu unawasumbua mwaacheni mama yetu!!