Chadema sasa kwishneyiiiiiiii, hatushangai sisi wenye ukomavu wa siasa, nawahakikishia wana JF, angalieni na kusoma hoja au michango ya wana-cdm uchwara utaona wanaandika; mara buku7 huyo, maccm hayo, magamba huyo, fisadi, kazeeka vibaya huyo, na matusi kadha wa kadha. Sasa swali Slaa ni kijana? Mtei yuko Bavicha?, Baregu yuko sekondari anasoma?, viongozi wote wa cdm kumuacha Zitto wote ni pro-ccm mbona hamjawatukana na kuwaambia maccm, magamba n.k, Chadema Chali Shaban Mambo alipigwa kwenye mkutano wa Kamati kuu uliomalizika hivi karibuni tena mbele ya Mbowe, Mwigamba alipigwa mbele ya Mbowe na kunyang'anywa Labtop yake, Ludovick akipigwa mbele ya Mbowe Ubungo Plaza, Je tuamini kwamba Mbowe hupanga uchafu huu wa viongozi wengine kuadhibiwa kwa kipigo? Kama ndivyo kwa Zitto wamechemsha labda hakutokea Mwandiga, wamuulize mtu mmoja alitumia mkono wake kumsonda Zitto, alijuta kuzaliwa! , Sembuse ka-mbowe, ka-slaa,ka-lisu na tu-mnyika, tu-wenje,tu-lema. Maviiiiiiiiiiiiiiiiii.