yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
wadau mi kuna jambo huwa linanshangaza sana, utakuta kuna tangazo la kazi limetolewa sehemu na kwa bahati nzuri wanatoa namba ya simu pamoja na email ili kufanikisha zoezi zima la applications.ila sasa baadae kinachojitokeza ni kwamba unaweza ukatuma cv through email then unapewa report kua email HAIPO,kama hilo halitoshi unaweza ukaamua kutaka kutumia zile namba za simu walizoweka ili wakusaidie cha kufanya sasa hapa kuna mawili kama si kuwa HAIPATIKANI au utakuta inaita tu mpaka unachoka mpigaji kwa maana kua HAIPOKELEWI.huu si uungwana ni ujinga km hamjui na sijui hata huwa mnamaanisha nini.