Kwa hili Wanaume tunahitaji kikao...

Kwa hili Wanaume tunahitaji kikao...

Wachezee kichapo kwa nn?, si ndio democracy mnayoihubiri mara hali za binadamu kwa hiyo waachen wautumie uhuru wao màadam hawaingilii mambo yenu
Duuh kweli maarifa ya wazungu viatu vyake vinatupwaya... Kale ka wimbo ka haki sawa..
 
[emoji12] [emoji12] hapo ndo mda mwingine maustadhi huwa nawakubali..
Hiyo ni biology kati ya X na Y ni ipi inaishi mda mrefu?kati ya watoto wanaozaliwa age 1 hadi 5 ,watoto wengi wa kiume ufa hapo,angalia idadi ya wajane mtaani utapata jibu ni kwann mwanaume anatakiwa kuwa na wanawake wengi
 
Hiyo ni biology kati ya X na Y ni ipi inaishi mda mrefu?kati ya watoto wanaozaliwa age 1 hadi 5 ,watoto wengi wa kiume ufa hapo,angalia idadi ya wajane mtaani utapata jibu ni kwann mwanaume anatakiwa kuwa na wanawake wengi
Kweli bhana.. Ni kama kwa wanyama.. Mbwa anazaa vitoto vingi... Lakini Ngombe ni wengi Kuliko mbwa..
Halafu cha ajabu..msimu wao ukifika jike moja...midume kibao..kwa Ngombe dume wachache majike kibao..

Balancing the equation...
 
Wachezee kichapo kwa nn?, si ndio democracy mnayoihubiri mara hali za binadamu kwa hiyo waachen wautumie uhuru wao màadam hawaingilii mambo yenu
We unajua ni aina gani ya kichapo ninayoizungumzia?
 
Haya ni mambo ya cheap import tunalazimishwa kuyapokea. Huwezi hata kuweka ushuru mkubwa bandarini kuyazuia.
 
Halafu huyo alojifanya bwana harusi ni mcute kuliko bi harus, she z so beautiful yan dah........kweli upele humuota asiye na kucha, wenye sura ngumu wanahainga kutaka kuolewa wakat warembo wanahangaika kutaka kuoa, God have mercy,, wayiiii .................
 
Halafu huyo alojifanya bwana harusi ni mcute kuliko bi harus, she z so beautiful yan dah........kweli upele humuota asiye na kucha, wenye sura ngumu wanahainga kutaka kuolewa wakat warembo wanahangaika kutaka kuoa, God have mercy,, wayiiii .................
[emoji39] [emoji39] [emoji39] Yaani hiyo kitu inafaa Sana kutafuna
 
..wish I could be invited for a threesome...only if I would be the only one with a stroke..
 
Bwana harusi mzuuuuuriiii woiiiiiii[emoji7]....but why???[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
 
..wish I could be invited for a threesome...only if I would be the only one with a stroke..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huwez pewa that chance.. Unaweza ukaleta mapinduzi ya kijeshi..
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huwez pewa that chance.. Unaweza ukaleta mapinduzi ya kijeshi..
Yani we acha tu, watoto wazuri hivyo badala ya kutoa utamu wameamua kugusanisha misivi tu, kweli? That's unacceptable, hata wewe unalijua hilo.
 
Hii ndiyo democracy, and liberty, live us u wish, tukisema turudi kwenye dictatorship hamtaki, sasa acheni wafu wawazike wenzao, ***
 
Democracy, volition, freedom,selection,option,election, discretion, alternative, way, and liberty, haya ndio matatizo democracy ya magharibi, blame no one,
 
Mnapo pokea misaada, financial aid, kutoka mataifa ya magharibi , mbona huwa hamtuambii vikwazo, financial aid's restriction, mpo cool mnasaini mikataba , yakitokea mnahojo for what, Africa is electing the thieves, or ma fisi to care the goat, *** ,huu ni uongo, ulaya wana malengo , moja no kuwaweka waafrika kuwa mashoga, kupitia misaana, na kufinance institution za kishoga Africa, why our leader are cool, kuna MSEMO, awamu ya 4 unasema , UKIPENDA KULA LAZIMA ULIWE, hivyo ndivyo Africa inavyo liwa,
 
Back
Top Bottom