Kwa hili Wamarekani wanatudharau

Kwa hili Wamarekani wanatudharau

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
588
Reaction score
904
Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)

Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake?

Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
 
Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)

Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???

Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Siri ya mtungi aijua kata
 
Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)

Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???

Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Aliondoka April 13 hadi leo ni wiki ya pili.
 
Halafu sisi hata viongozi wao wastaafubwakija...viongozi wakuu hu hairisha kila kitu na kuwajali wao

Hii ni dharau ya kiwango cha lami
Kijana una uelewa mdogo sana. Mama kaenda kwa sababu gani? Kaenda kiserikali au kibinafsi? Kaalikwa au kajiendea tu? Unataka mtu aache kazi zake sababu ya mgeni ambaye hana taarifa nae wala mazungumzo nae?

Hata mimi ukija nyumbani kwangu bila taarifa sitakuwa na muda na ww kama nina kazi zangu. Utakaa mwishowe utaondoka kama ulivyokuja.
 
wee unafikiri rais makini kama Biden anaweza kukutana na raisi kutoka nchi ya kiafrika isiyo heshim uhuru wa kujieleza, demokrasia na haki za binadamu, na yenye kuendekeza ufisadi? wenzentu huwa wanaangalia hivi vitu kwa mapana zaidi
 
Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)

Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???

Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Watu weupe Wana tudharau Sana wanasema hatuna akili lakini tuna maliasili
 
Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)

Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???

Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Bhahahahaa, sasa si wanajua hamna akili? Mlikuwa na Rais mzuri mkajifanya wajuaji. Sasa mtadharaulika mpaka na vi nchi vya Afrika.
 
Back
Top Bottom