Kwa hili tunahitaji tamko la CHADEMA

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Mbali na itikadi za kichama tunaomba uongozi wa CHADEMA utoe tamko lao kuhusu misaada na sera za ushoga toka Uingereza kupitia chama cha Concervative. Bado tunahitaji msimamo wa serikali mbadala ya CHADEMA either kupitia waziri kivuli wake wa mambo ya ndani au yeyote atakayeteuliwa kusema kwa niaba ya chama. Tunatambua pia changamoto wazipatazo makada wa chadema hususani kule Arusha.
 
Kwa sasa kazi kubwa ni kuikomboa nchi na si kutoa misimamo. Kama unataka msimamo basi subiri ilani ya uchaguzi 2015. CDM sasa ni mikakati tu ya namna ya kuin'goa CCM madarakani. Wacha akina Membe waendelee.
 
CCM ndio serikali kwa sasa, wanaweza kutoa tamko na sio CDM; kwani fedha nazo zina sexual orientation? Wewe unajua fedha unazotumia zimetoka wapi? Think big
 
Kwa kweli humu ndani kuna watu wanafikiria uharo..hivi CDM nd yenye dola na itoe tamko kwa nn? Wambie magamba hatma ya misaada watolee tamko na c CDM kwn ndo wenye dola..

Think Big
 
Wewe kweli kibaraka wa kikoloni na kimawazo. Kodi na diashara.CCM si taasisis ya uzalishaji na isiwahadae wananchi kuwa eti inaleta maendeleo kwa jasho la watanzania wenyewe. Unanipa hasira kukujibu
CCM ndio serikali kwa sasa, wanaweza kutoa tamko na sio CDM; kwani fedha nazo zina sexual orientation? Wewe unajua fedha unazotumia zimetoka wapi? Think big
 
Kwa kweli humu ndani kuna watu wanafikiria uharo..hivi CDM nd yenye dola na itoe tamko kwa nn? Wambie magamba hatma ya misaada watolee tamko na c CDM kwn ndo wenye dola..

Think Big
Wewe kweli hili ndo jibu lako. Maybe ur still a learner. U need to stand as a watch dog? ndo maana kuna mawazo mbadala on how to go out of it
 
Kwa kweli humu ndani kuna watu wanafikiria uharo..hivi CDM nd yenye dola na itoe tamko kwa nn? Wambie magamba hatma ya misaada watolee tamko na c CDM kwn ndo wenye dola..

Think Big
Hoja hapa ni kwamba; hawa wakubwa wameshatoa msimamo wao kuwa watasitisha misaada kwa nchi zinazoendelea ambazo zinapinga ushoga; mtoa mada anajaribu kujenga hoja kwamba miongoni mwa wanufaika wa misaada hiyo ni CHADEMA ambao wanapata msaada moja kwa moja kutoka kwenye chama ambacho serikali yake kimetoa masharti hayo, na ndiyo maana anauliza je msimamo wa CHADEMA ni upi? bado mtaendelea kupokea misaada kutoka kwa wakubwa hawa? je hamuoni kufanya hivyo ni sawa na kuukubali ushoga?
 
Hoja hapa ni kwamba; hawa wakubwa wameshatoa msimamo wao kuwa watasitisha misaada kwa nchi zinazoendelea ambazo zinapinga ushoga; mtoa mada anajaribu kujenga hoja kwamba miongoni mwa wanufaika wa misaada hiyo ni CHADEMA ambao wanapata msaada moja kwa moja kutoka kwenye chama ambacho serikali yake kimetoa masharti hayo, na ndiyo maana anauliza je msimamo wa CHADEMA ni upi? bado mtaendelea kupokea misaada kutoka kwa wakubwa hawa? je hamuoni kufanya hivyo ni sawa na kuukubali ushoga?
Asante mkuu kwa kuiweka vizuri mimwenyewe nilitaka nitukane kwa kuiona hii thread haina maana kumbe sikuielewa vizuri. Thanks again.
 
Mbali na itikadi za kichama tunaomba uongozi wa CHADEMA utoe tamko lao kuhusu misaada na sera za ushoga toka Uingereza kupitia chama cha Concervative. Bado tunahitaji msimamo wa serikali mbadala ya CHADEMA either kupitia waziri kivuli wake wa mambo ya ndani au yeyote atakayeteuliwa kusema kwa niaba ya chama. Tunatambua pia changamoto wazipatazo makada wa chadema hususani kule Arusha.

Mpambanaji.com,

Mwambie Rais wako Kiwete atoe tamko kuhusu swala la USHOGA. JKiwete alikuwa pamoja na David Cameron kule kwenye mkutano wakti anatoa masharti hayo kwa Nchi za kiafrika. Mbona hakumwambia blankpoint kama kweli Kiwete anachukia ushoga???Badala yake aliendelea kuchekacheka tu huku David Cameron a.k.a Mzee wa the utamu akimkonyeza! Kama Kiwete ni mwanamme kweli alishindwa nini kumwambia DC kuwa hakubaliani na huo upuuzi wake badala yake kamwachia Waziri wake kihiyo Membe! Upuuzi mtupu. DC kama PM wa Uingereza kaongea kwa niaba ya serikali yake. Kwa hiyo mtu wa saizi yake ni Rais,Makamu wake Bilali au Waziri Mkuu Pinda na siyo Membe.

Wewe subiri siku Kiwete akienda kutembeza bakuli lake kule kwa Mama Malkia kama hajashughulikiwa na DC! Hivi mnafanya mchezo na DC,ukijichekeshachekesha tu anakuramba! Mwambie Rais wenu aache kuchekacheka kama jike maana kina DC watamwumiza!
 
Mbali na itikadi za kichama tunaomba uongozi wa CHADEMA utoe tamko lao kuhusu misaada na sera za ushoga toka Uingereza kupitia chama cha Concervative. Bado tunahitaji msimamo wa serikali mbadala ya CHADEMA either kupitia waziri kivuli wake wa mambo ya ndani au yeyote atakayeteuliwa kusema kwa niaba ya chama. Tunatambua pia changamoto wazipatazo makada wa chadema hususani kule Arusha.

Regia si ndio mpayukaji wao?
 
Tukiwa na uongozi imara na kujitegemea ki- uchumi, anayetulazimisha kuwa mashoga atajiuliza mara mbili mbili kabla ya kutwambia. Tupiganie hayo maawili
 
inaonyesha ni jinsi gani wanaiamini cdm ndo maana wanataka watoe tamko na ndo litakua tamko la nchi, magamba hawaaminiki tena
PEOPLEOOOOZ
 
Mbali na itikadi za kichama tunaomba uongozi wa CHADEMA utoe tamko lao kuhusu misaada na sera za ushoga toka Uingereza kupitia chama cha Concervative. Bado tunahitaji msimamo wa serikali mbadala ya CHADEMA either kupitia waziri kivuli wake wa mambo ya ndani au yeyote atakayeteuliwa kusema kwa niaba ya chama. Tunatambua pia changamoto wazipatazo makada wa chadema hususani kule Arusha.

1. CHADEMA siyo nchi na hawana Serikali, hata kama wananufaika na msaada huo hawapo katika tishio lolote la kuukosa na hawapaswi kutoa kauli kwa sasa.

2. Ushoga ni utovu wa maadili na ni uovu
kama ulivyo ufisadi. Kama wewe unaunga mkono ushoga bila shaka CHADEMA hawako pamoja na wewe.

3. Subiri uone reaction ya Wabunge wa CHADEMA siku mswada wa kuridhia haki za mashoga utakaposhinikizwa na "wakubwa" ujadiliwe Bungeni, si unafahamu kwamba tulilazimishwa kuwa na sheria kuhusu Ugaidi, Fedha haramu nk? La ushoga liko njiani!
 
mawazo yako ni mazuri ila si kwa cdm swali lako mahali sahihi ni serekalini huko kwa Jk wao huwaga wanafanya sherehe za kuwakaribisha hao mashoga na wanabadilishana nao mawazo na wao ndiyo wanachukuaga misaada yao.
 
na hata cdm wakitoa tamko sio kwamba serikali ndo itatekeleza kilicho semwa na cdm,kama msimamo wao utakuwa hauna mwelekeo ndipo vyama pinzani na sio cdm pekee vitaingilia kati pamoja na mashirika ya kidini
mawazo yako ni mazuri ila si kwa cdm swali lako mahali sahihi ni serekalini huko kwa Jk wao huwaga wanafanya sherehe za kuwakaribisha hao mashoga na wanabadilishana nao mawazo na wao ndiyo wanachukuaga misaada yao.
 
CDM tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu! PEOPLES POWER!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Mpambanaji.com,

Mwambie Rais wako Kiwete atoe tamko kuhusu swala la USHOGA. JKiwete alikuwa pamoja na David Cameron kule kwenye mkutano wakti anatoa masharti hayo kwa Nchi za kiafrika. Mbona hakumwambia blankpoint kama kweli Kiwete anachukia ushoga???Badala yake aliendelea kuchekacheka tu huku David Cameron a.k.a Mzee wa the utamu akimkonyeza! Kama Kiwete ni mwanamme kweli alishindwa nini kumwambia DC kuwa hakubaliani na huo upuuzi wake badala yake kamwachia Waziri wake kihiyo Membe! Upuuzi mtupu. DC kama PM wa Uingereza kaongea kwa niaba ya serikali yake. Kwa hiyo mtu wa saizi yake ni Rais,Makamu wake Bilali au Waziri Mkuu Pinda na siyo Membe.

Wewe subiri siku Kiwete akienda kutembeza bakuli lake kule kwa Mama Malkia kama hajashughulikiwa na DC! Hivi mnafanya mchezo na DC,ukijichekeshachekesha tu anakuramba! Mwambie Rais wenu aache kuchekacheka kama jike maana kina DC watamwumiza!

Ivi hapa umechangi hii mada, au nia ilikua kuntukana huyu Rais wa nchi, na mzee wa watu. Hii sio siasa hata kama humpendi usimtukane hivi MOD'S
 
Back
Top Bottom