Kwa hili tumekosea

Kwa hili tumekosea

Mtz-halisi

Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
47
Reaction score
20
Kwa Mtazamo wangu, mawaziri wameonewa. Muhusika mkuu wa matatizo ndiye anapewa majukumu ya kuadibisha wenzake. hapa ndipo sielewi watanzania wanao furahi eti Mkulu msikivu, kama kweli mkulu ni msikivu mimi naona angekuwa wakwanza kuchukua maamuzi ya kujiuzuru.
1. sababu kubwa kuliko zote yeye ndiye mwenyekiti baraza la mawaziri, kwa maana nyingine yeye ndiye msimamizi mkuu, lakini wote hatuoni hilo tumebaki kusifia sifia.
2. Mkulu amekuwa mzurulaji naona hilo nalo ilibidi ajitafakali.
Ngoja tuone hao wanaokuja tuone kama wataweza fanya yaliyowashinda wenzao.
 
Kwa Mtazamo wangu, mawaziri wameonewa. Muhusika mkuu wa matatizo ndiye anapewa majukumu ya kuadibisha wenzake. hapa ndipo sielewi watanzania wanao furahi eti Mkulu msikivu, kama kweli mkulu ni msikivu mimi naona angekuwa wakwanza kuchukua maamuzi ya kujiuzuru.
1. sababu kubwa kuliko zote yeye ndiye mwenyekiti baraza la mawaziri, kwa maana nyingine yeye ndiye msimamizi mkuu, lakini wote hatuoni hilo tumebaki kusifia sifia.
2. Mkulu amekuwa mzurulaji naona hilo nalo ilibidi ajitafakali.
Ngoja tuone hao wanaokuja tuone kama wataweza fanya yaliyowashinda wenzao.

Mbwa mwizi na mroho mwenye kifaranga kinywani, hawezi kukiacha kwa kumpigia gitaa na kumsihi. Mpige dongo, hata asipotaka kukiacha atatanua mdomo kulia bweeeeee..., na kifaranga kitaanguka tu? Mungu wetu anaita!
 
Back
Top Bottom