Kwa hili simuelewi mke wangu

April26

JF-Expert Member
Jul 14, 2020
1,403
2,118
Brother, nina mtoto mmoja na mke wangu (kiserikali) na tuna miaka 3 hadi sasa, naishi nae bila ndoa. Tuna ugomvi mkubwa wa mara kwa mara tatizo ni baada ya kuanguka kiuchumi akaanza tabia zake za kuniforce ili tu mradi nilete pesa home (ni jambo zuri)

Nimetafuta vibarua sijapata ila nafanya online consultation kwa sababu mimi ni mtaalam wa maswala ya afya ya akili (clinical psychologist) so kipato changu kinategemea matangazo yangu mitandaoni na redio ndonnipate clients. Before nilikuwa na kazi makataba ulivoisha ndo mambo yakaanza.

Namkubali ni mwaminifu brother, hana tatizo la makando kando kiukweli hata kama anafanya basi anafanya kwa kuniheshimu.

Kama kawaida tunapokuwa tunashare jambo la sex huwa tuna ratiba sababu ya kuepuka mimba zisizo tarajiwa lakini juzi ananambia tayari kapima na imooo! Yeye ni mtu wa afya.

HAYO YOTE TUACHANE NAYO.

Issue kubwa ni kuwa ndani ya kipindi chote tumekuwa tunagombana sana kwa sababu kuna tabianyangu ya kunywa pombe hapendi tangu nimemuoa hari leo haipiti siku 3 hajakazia kuniacha sababu ya pombe sasa issue imezidi baada ya kupoteza kibarua.

Alivonambia tayari imo na mtoto ana miaka 2 nikamwambia tunalea au hauzai tena na mlevi? Japo mimi sio mlevi hilo ni jina huwa anapenda kulitumia. Basi akajibu tunazaa nikamwambia hapana sitaki (one month tunafanya simple abortion) alikasirika hata sasa naandika hii thread hawaongei vizur japo nia yake anasema sio kutoa.

Sipendi sana kero zake,lawama, bro nakwambia hivi inakera nikiweka stress za kukosa kazi ilio na uhakika anaongea sana inaniuma sana.

Bro kesho tunachonga!

Mimi mmmhhhh, hujanipa hata muda nikushauri?

Kesho bro!

Wana jamvi hiyo hapo, hata mimi sijamwelewa anataka nini?
 
Umeandika ukiwa umelewa. Kwa sababu I am on her side 100%
Nilikuw mlevi kama wewe nikamchokoza mtu bar kilichonikuta 👇
maxresdefault (1).jpg
 
Nadhani huyo Dada yupo sahihi, anajua kabisa kwasasa Mwanaume Uchumi wake umeshuka kutokana na kukosa ajira kama alivyosema Mtoa mada lakini bado Mume anaendelea kupoteza kipato kwenye Ulevi.

Sote tunajua tabia za baadhi ya wanywaji/walevi wengi wako tayari familia ikose mahitaji muhimu i.e chakula, Karo za shule n.k ila wasikose hela ya kunywea.

Nadhani ili kuepusha hayo, vyema Mwanaume apumzike kunywa/kulewa wakati anaendelea kupambana na ishu ya kuongeza kipato na kazi.
 
Brother, nina mtoto mmoja na mke wangu (kiserikali) na tuna miaka 3 hadi sasa, naishi nae bila ndoa. Tuna ugomvi mkubwa wa mara kwa mara tatizo ni baada ya kuanguka kiuchumi akaanza tabia zake za kuniforce ili tu mradi nilete pesa home (ni jambo zuri)

Nimetafuta vibarua sijapata ila nafanya online consultation kwa sababu mimi ni mtaalam wa maswala ya afya ya akili (clinical psychologist) so kipato changu kinategemea matangazo yangu mitandaoni na redio ndonnipate clients. Before nilikuwa na kazi makataba ulivoisha ndo mambo yakaanza.

Namkubali ni mwaminifu brother, hana tatizo la makando kando kiukweli hata kama anafanya basi anafanya kwa kuniheshimu.

Kama kawaida tunapokuwa tunashare jambo la sex huwa tuna ratiba sababu ya kuepuka mimba zisizo tarajiwa lakini juzi ananambia tayari kapima na imooo! Yeye ni mtu wa afya.

HAYO YOTE TUACHANE NAYO.

Issue kubwa ni kuwa ndani ya kipindi chote tumekuwa tunagombana sana kwa sababu kuna tabianyangu ya kunywa pombe hapendi tangu nimemuoa hari leo haipiti siku 3 hajakazia kuniacha sababu ya pombe sasa issue imezidi baada ya kupoteza kibarua.

Alivonambia tayari imo na mtoto ana miaka 2 nikamwambia tunalea au hauzai tena na mlevi? Japo mimi sio mlevi hilo ni jina huwa anapenda kulitumia. Basi akajibu tunazaa nikamwambia hapana sitaki (one month tunafanya simple abortion) alikasirika hata sasa naandika hii thread hawaongei vizur japo nia yake anasema sio kutoa.

Sipendi sana kero zake,lawama, bro nakwambia hivi inakera nikiweka stress za kukosa kazi ilio na uhakika anaongea sana inaniuma sana.

Bro kesho tunachonga!

Mimi mmmhhhh, hujanipa hata muda nikushuri?

Kesho bro!

Wana jamvi hiyo hapo, hata mimi sijamwelewa anataka nini?
Nasimama na huyo mke. Unaendaje kulewa wakati huna kipato cha uhakika?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom